Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Lahaulaah wabongo tushakuwa wanaijeria sasa


Ndugu yangu sijui umekusudia nini kusema tumegeuka Wanaijeria.

Sisi tunafanya kazi zetu kiuwazi na kihalali na tunakuomba ututembelee ujionee mwenyewe kabla ya kutupakazia.

Kazi na uwekezaji wetu si wa siri wala kificho. Tumeuelezea wazi wazi ukipitia huu uzi vizuri na tunakusihi uje kututembelea ujionee mwenyewe.

Miradi tunayowekeza yote unaweza kuja kuikagua na ukajionea kwa macho yako kinachoendelea na baada ya hapo ruksa kuandika chochote ulichokishuhudia kwa macho yako. Lakini kutupakazia kabla ya hapo, haututendei haki.

Karibu sana.

Abdul
0625249605
 
Nime soma na nime elewa vzuri,ndiyo maana nika andika hvyo,kwa upande wangu haini ingii akilini mtu kutoa laki tano na baada ya mwezi kupata milioni kadhaa,yani ata uncle wangu hapa Ana soma chekechea ukimwambia huo ujinga ata kupiga makofi.....


Sio baada ya mwezi ndugu yangu ni wiki 52 au 26 inategemea na ulivyowekeza, pitia vizuri juu hapo nimeweka tena maelezo.
 
Kwa nini usiende Bank ukaamua kuja huku?
 


Hilo mbona liko wazi kabisa na sisi tumelielezea juu huko, kuwa msingi wetu ni mdogo na ndiyo maana tumeona tutafute wengine wenye misingi midogo tushirikiane ituingizie kipato.

Biashara na miradi tunayowekeza ni halisi kabisa tumeielezea juu huko, pia licha ya kuielezea, tunakukaribisha kwetu uje kujionea mwenyewe tunayoyafanya. Kila kitu kipo wazi kabisa.

Hii sio desi, wala sio kuchangiana, hii ni uwekezaji kwenye miradi ya muda mfupi na huwa tunaenda kwa phase, tukikamilisha uwekezaji wa phase moja na ukiendelea vizuri basi tunaanza mwingine. Hatukusanyi tu pesa bila kuwa na mradi madhubuti.

Siku za mbele hivi karibuni kuna mradi mkubwa sana ambao tueutanaza humu,huo itabidi tupate ma engineerm wanasheria, wachumi, waalimu na kadhalika, upo uzi wake humu tafadhali upitie.
 
Zainab, ili kuwe na ufanisi, itabidi uunde group mbalimbali za whasapp/Telegram...kulingana na uwekezaji husika au malengo husika....kuanzia wale ambao bado hawajawekeza lakini wana nia , waliowekeza, nk


Ni wazo jema sana, tutafanya hivyo hivi karibuni
 
Hii sio Desi. Ulinzi wa pesa ya mwekezaji ukoje apo
 
Hii sio Desi. Ulinzi wa pesa ya mwekezaji ukoje apo

Ninakuwekea hapa post ambazo tumejibu swali kama lako, ninakuomba zipitie, tunatumai majibu yanajitosheleza, kama bado una swali, tafadhali usisite kutuuliza:

Mnanihakikishiaje kua so desi; ni utaratibu gani umeandaliwa kisheria kukabidhiana pesa?

mnakubali tuingie mkataba wa kisheria ?


Tunakubali kabisa. Tena na kama nilivyoeleza kuwa hapa kwetu tunaandikishana serikali za mitaa lakini wewe binafsi kama utaingia gharama za mwaanasheria unaweza kuja na mkataba wako wa kisheria. Hakuna shaka.

 
Wale wote ambao mmetushauri tuweke group la whatsapp mnaweza kunitumia niwaweke kwenye group.

Group ninalowaweka si jipya lakini litakidhi mahitaji kwa kuwa wote waliomo kwenye hilo group mimi ndiye ninasimamia miradi yao, wao wamewekeza hapa kwetu Vitendo, Misugusugu kwenye viwanja na ujenzi wa nyumba na mimi ndiye ninawasimamia hiyo miradi yao, nimewajulisha kuwa tunalipanua hili group kwa kuongeza wawekezaji wengine na wengine wawekezaji watarajiwa na wamekubali.

Karibuni.
 

Yeyote atakae penda kuungwa kwenye hilo group kama tayari kishawekeza au anatarajia kuwekeza mnaweza kunitumia namba zenu kwa PM au ukipenda hapa hapa wazi, nami nitawaingiza kwenye group.

Au mnaweza kutu contact whatsapp 0625249605

Group letu linaitwa Vitendo Action Group.
 
0763772636 naomba uni add plz my dia nilikuwa ninangojea milango ifunguliwe asante Dada Zainab
 
mnamali/asset zisizo hamishika?
mkipata hasara/any risk usalama wa pesa utakuwepo?
na je mkishindwa kunilipa naweza kuchukua asset mlizo nazo kufidia?


Tuna mali na assets zisizo hamishika, lakini ni matumini yetu kuwa hatutafikia kuuziana mali, kila kitu tunamuomba Mwenyezi Mungu akifanye kiwe salama kabisa kwetu na kwa wawekezaji wetu.

Tunafanya hii kazi kwa nia njema kabisa na hatuna wasi wasi wa kufikia huko. Ikibidi, basi assets zetu ziuzwe na urudishiwe haki yako.

Karibu sana.
 
Nataka kuwekeza plan B taratibu zipoje

Tunapendelea sana kabla hujajiunga ututembelee. Ikiwa upo mbali basi tunakutumia mkataba au tunakutumia maelezo halafu wewe unafanya mkataba na mwanasheria wako, tukimaliza hapo unatuma pesa zako unazowekeza, kwa njia ya bank au Tigopesa. Kisha tunaanza kuzifanyia kazi kadiri ya makubaliano. Kwa ufupi:

1) Kwa uwekezaji wa 500,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 na kuendelea kwa wiki 52, wiki mbili za mwisho tunakata kama service charge. Kwa hiyo utapokea 20,000 X 50 = 1,000,000

Wiki zingine tunaweza tukakutumia zaidi ya 20,000 na endapo itatokea hivyo basi kuna wiki tunaweza tusitume, lakini kwa ujumla haitozidi wiki 50 au chini ya hapo kabisa kupata marejeo yako.

2) Kwa uwekezaji wa 5,000,000 tarajia kupokea wiki moja baada ya siku 30 - 45 na kuendelea kwa wiki 26. Kwa hiyo utapokea uwiano wa 289,000 X 26 = 7,514,000, utapokea pesa isiyozidi 7,500,000 (hiyo 14,000 imezidi kwenye calculation).

Tumeanza kuwa na group la whatsapp la wawekezaji na wawekezaji watarajiwa kama utapenda tukuunge tujulishe kwa 0625249605

Asante
 
Shukran
 
Tunapenda kuwatangazia kuwa awamu ya mradi wa kuwekeza 500,000 uliokuwa uanze tarehe 15-04-2017 utaanza kama ulivyotarajiwa.

Ambae atapenda kujiunga na awamu (phase) hii basi awe ametuma pesa kabla ya tarehe 15-04-2017 baada ya hapo hatutapokea pesa kwa uwekezaji wa 500,000 mpaka tutakapotangaza tena siku za usoni.


Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…