Leo nawaletea fursa ya kuwekeza salama kabisa.
Kama una fedha zimekaa bure au unaziweka benki basi hii ni fursa ya kujiongezea kipato bila jasho, kwani kazi zote za kuwekeza tutazifanya sisi, wewe unawekeza fedha zako na zinakuzalia.
Tunakuhakikishia pesa utazowekeza zitakuzalia 100% kwa mwaka na au zaidi.
Pesa za mwanzo kuanzia ni TZS 500,000/=
Hatutachukuwa wawekezaji zaidi ya 20 kwa miezi sita ya mwanzo.
Pesa utazowekeza tunaziingiza katika biashara za halali kabisa ambazo zipo tayari zinafanyika.
Ukianza na kuwekeza shillingi 500,000/- tunakuhakikishia malipo ya shillingi 20,000 kila wiki kwa wiki 52
Plan A:
Ukiweka 500,000 utalipwa baada ya siku 30 au chini ya hapo za mwanzo, Shillingi 20,000 kila wiki X wiki 52 = 1,040,000
*Service charge yetu ni shillingi 40,000 kwa hiyo unabaki na 1,000,000 kamili.
Kwa plans zingine unaweza kuwasiliana na Babu Abdul 0625249605
Tunapenda ifahamike kuwa hii si desi wala "pyramid scheme", huu ni uwekezaji halali, sisi tunawekeza katika kazi halali zilizopo hapa kijijini kwetu Misugusugu, Kibaha. Kama vile machimbo ya mchanga, bodaboda, maduka ya hardware, mini market, maduka ya vyakula, uuzaji wa kokoto, uuzaji wa mbao.
Ukipenda unaweza kututembelea wakati wowote, miradi yote tunasimamia wenyewe na vijana tuliowaajiri.
Kama una maswali yoyote tafadhali uliza na Babu Abdul (Mume wangu) atayajibu.
Mradi huu kwa kuwa msimamizi mkuu ni mume wangu, Babu Abdul, maswali yote na mawasiliano yatakuwa yanapitia kwake.
Asanteni.
Plan B
Mpango mwingine ni very simple isipokuwa uwekezaji wake ni mkubwa kidogo. Huu unaanzia millioni tano na unapanda kwa millioni tano tano, yaani unaweza kuwekeza millioni tano au kumi au kumi na tano au ishirini.
Kwa sasa tunahitaji wawekezaji au muwekezaji wa millioni 30 kama ni mmoja tu, au kama ni 6 kila mmoja atatoa millioni 5 (tumeshapata wawili wa millioni 5 kila mmoja kwa hiyo tuna nafasi ya millioni 20 tu kwa sasa).
Tunawekeza kwenye mgodi wa michanga ya kujengea ambayo ipo kihalali kabisa. Tuna guarantee faida ya 50% kwa miezi mitatu mpaka sita tu.
Maana yake, itakapotimia miezi 6 tunahakikisha kuwa kiasi ulichowekeza na faida ya 50% ipo kwako tayari. Na mambo yakienda vizuri basi ndani ya miezi mitatu itakuwa tumeshamaliza phase hii.
Kulipwa ni kila wiki mpaka uwekezaji wako na faida ziwe zimesharudi.
Msingi ulikuwa unatakiwa wa millioni 30 lakini tayari tumeshapata millioni 10 za kuwekeza. Kazi hii tunatarajia itaanza mwanzo wa mwezi March.
Karibu sana.