Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
- Thread starter
- #141
Katika jambo jema na lenye tija vikwazo na mapingamizi hayakosekani. Kama anashindwa kuthibitisha utapeli wenu asiwasumbue sana kujibishana nae, mwenye kutaka kuwekeza atawatafuta tu, msipoteze muda na nguvu kujibishana nao.
Hasbunna Llahu wa Neema L'wakil. (FaizaFoxy )
Asante sana, nimekuelewa.