Fursa ya kwenda China kibiashara

Fursa ya kwenda China kibiashara

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Wakuu kuna clip nimeiona whatsapp inasambaa ambapo yule mzee Simbeye mwenyekiti wa sekta binafsi anaongea kwamba tarehe 13 october kuna nafasi za kwenda China kuangalia fursa za viwanda ambapo zinaratibiwa na kampuni moja ya utalii nchini. Bahati mbaya sijaskia utaratibu wa kujisajili na gharama za safari. Kama kuna mwenye taarifa zaidi au link atuwekee hapa tuchangamkie fursa maana hadi mashine ukinunua china wanasaidia kwenye taratibu za clearance.
 

Attachments

Wakuu kuna clip nimeiona whatsapp inasambaa ambapo yule mzee Simbeye mwenyekiti wa sekta binafsi anaongea kwamba tarehe 13 october kuna nafasi za kwenda China kuangalia fursa za viwanda ambapo zinaratibiwa na kampuni moja ya utalii nchini. Bahati mbaya sijaskia utaratibu wa kujisajili na gharama za safari. Kama kuna mwenye taarifa zaidi au link atuwekee hapa tuchangamkie fursa maana hadi mashine ukinunua china wanasaidia kwenye taratibu za clearance.
Hapo imekaa vipi? Kwamba watu wakaangalie furusa za viwanda china then wawekeze huko?

Au wakaangalie furusa then warudi tena Bongo?

Nijuaavyo wawwkezaji huja kuangalia furusa.
 
Hapo imekaa vipi? Kwamba watu wakaangalie furusa za viwanda china then wawekeze huko?

Au wakaangalie furusa then warudi tena Bongo?

Nijuaavyo wawwkezaji huja kuangalia furusa.
Wabongo ndio wamepewa hiyo fursa ya kwenda kuangalia fursa za viwanda vidogo vilivyopo kule ambazo unanunua na kuja kuzalisha bongo. Ndio maana clip imezungumzia mfano wa kiwanda cha misumari unaweza pata kwa dola elfu tatu tu na ukaja kupiga hela
 
Back
Top Bottom