Fursa za biashara nchi ya Thailand

Mkuu nilienda mwezi April nilitembelea maeneo yote aliyosema stuna.

Gwishaga ma-mihayo lulu!

Je, fursa alizozisema Money Stunna ulizionaje? Je, ulienda kibiashara au kutalii? Tunaomba maelezo zaidi ya hiyo sentensi yako 1!!
 
Vipo hivyo
Kuna hii ishu ya hawa TBS kwa hapaBongo vp bidhaa gani z umeme kwa maana ya product maana hapa vingi ni product za liper, tronic, havells India na Ornesto sasa hivyo vya ki Thai itakuwaje na vipi kuhusu bei zao na mtaa ambao vinapatikana kwa wingi
 
Nasikia kuna baadhi ya makampuni wanahonga TBS ili watu wengine wasilete vifaa vya umeme
 
Gwishaga ma-mihayo lulu!

Je, fursa alizozisema Money Stunna ulizionaje? Je, ulienda kibiashara au kutalii? Tunaomba maelezo zaidi ya hiyo sentensi yako 1!!

Niliienda kimasomo fursa ni nyingi sana hasa mambo ya nguo na electronics bei zipo chini sana. currency ni 1bhat=50.9 tshs. hotels ni nzuri kwa bei ya chini ila usikae jirani na Airport. Nilifikia hotel moja ipo katikati ya Bangkok inaitwa i-resident kuna stesheni kwa hiyo nilikuwa na access ya kwenda popote kwa bei nafuu. mfano kwa bei ya rejareja tshirts na mashati mazuri ya viwango ni wastani 150 hadi 200 bhat ambayo hapa utanunua kuanzia 25000.
 
Santeee mkuu kwa hii taarifa,je ni kama bei gani hizo IPHONE?
Nalog off
 
santeee mtoa mada nafikiri nimekuelewa vizuri tu.
Nalog off
 



Kwa madini haya you guy have to be exempted from tax!
 
uzi huu umenifungua macho sana na umenifanya nising'ang'anie kufanya biashara sehemu moja kumbe fursa ziko nyingi asanteni sana kwa kunielimisha hapa nimepata kitu wewe na Money Stunna kweli jf kuna mambo mazuri ya ya kibiashara

mkuu ulifanikiwa kwenda? Tafadhali Toa mrejesho ili watu wengine wapate amani na wafanikiwe PIA.
 
Last edited by a moderator:
hapa ndo utajua wabongo na roho za korosho, no feedback, au wale mliokuwa mnajikusanya ndo mbwembwe zilikuwa, ziliishia ukikongoni huku kwetu tunaita mizuka.

safi stuna kwa roho safi ila wengi wetu hatuna iyo roho

Mkuu sio roho ya korosho, ykiona kimya ujue bado vibubu havijajaa....

Tutarudi tu hapa!
 
uzi huu umenifungua macho sana na umenifanya nising'ang'anie kufanya biashara sehemu moja kumbe fursa ziko nyingi asanteni sana kwa kunielimisha hapa nimepata kitu wewe na Money Stunna kweli jf kuna mambo mazuri ya ya kibiashara

Cousin.. Mir tangu nilipouona huu uzi nimeanza kuweka akiba kwenye kibubu na Mungu akipenda November naweza tia maguu hukoo!!

Hebu tuwasiliane kwa maelezo zaidi kama utapenda kwenda!!
 
Last edited by a moderator:
Cousin.. Mir tangu nilipouona huu uzi nimeanza kuweka akiba kwenye kibubu na Mungu akipenda November naweza tia maguu hukoo!!

Hebu tuwasiliane kwa maelezo zaidi kama utapenda kwenda!!

kweli umepania yaan mpaka kieleweke
 
Tazo ni ma paspot na maviza bna. Ila mtaji wa mil 5 si fresh kabsa wadau?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…