Fursa za biashara nchi ya Thailand

Fursa za biashara nchi ya Thailand

shukran kwa taarifa mkuu,
nimewafahamu kibiashara kama dazeni moja ya wathai ndani ya Tz, wanaonekana kana kwamba maisha yao ya kibiashara si tofauti sana na wachina na wana magenge ya uhalifu wa kibiashashara pia.

Kwa mtu anayepeleka biashara kwao usalama ni wa uhakika?, au pia kuna sehemu za kuepuka?

Magenge ya uharifu Thailand ni kwa wale wauzaji wa sembe. Kama ni biashara ya madawa ndio kuna kuzulumiana na uharifu.

Kama biashara yako ni halali hakuna uharifu biashara ziko kwa uwazi sababu watataka uwe mteja wa kudumu.

Kabla ya kufanya biashara kubwa na mtu lazima umfatilie kwanza

Kama ni biashara ya kununua tu hakuna shida unanunua na kuondoka hakuna tatizo
 
Yaani nimefurahi na kujifunza mambo hapa, kwa wastani nimeanza kuyaona maisha ya Thailand, naelekea huko kwa kozi nilikuwa nawaza maisha ya huko yako vipi lakini kwa uzi huu nimepata picha. asante Money Stunna
 
Last edited by a moderator:
vurugu za maandamano uwa azi affect sana biashara sababu zinafanyika maeneo yenye ofisi za serikali kama wizara ya fedha etc. maeneo ya biashara na utalii hakuna maandamano. hivo biashara zipo kama kawa. mitaa yenye ofis za serikali ndio uwa kinanuka
Siku zingine huwa unakuja na point za maana sana mpwa wangu. Vipi jamaa zetu wa HSC hawana ofisi huko, maana hawa jamaa ndiyo mkombozi kwenye mambo ya usafirishaji mizigo na clearance pale bandarini!
 
Kaunga mimi nina wazzo tutafute nauli kwanza then tukatembee tumuombe MONEYstuna atupeleke then biashara kila mtu atakuja kwenda kivyake

shost we tangulia kwanza afu ukienda nlletee handbag rangi black,light blue and green.
na ukipata magauni official na skirts mwake sana.
cc Kaunga
 
Last edited by a moderator:
MZEE WA ALIZETI kule ndiyo kariakoo ya madini, kuna jamaa zangu wanapeleka mawe kule wanapiga pesa sana, wao wanachukua bure machimboni!
 
Last edited by a moderator:
chachandumbaya fanya hesabu mwenyewe si lazima kila kitu utafuniwe. Nauli+malazi+mzigo+kodi+mengineyo, kisha unakokotoa bei inayoweza kuuzika huku ili upate faida.
 
Last edited by a moderator:
Kaunga mimi nina wazzo tutafute nauli kwanza then tukatembee tumuombe MONEYstuna atupeleke then biashara kila mtu atakuja kwenda kivyake

Smile Money Stunna anakaa USA, labda tufuate ratiba yake; lkn kwa maelekezo nafikiri twaweza kwenda tu. Mimi nataka kuivaa hii fursa 100%. Twende pm kwa mipango zaidi, maana safari ya wawili si sawa na mmoja.
 
Last edited by a moderator:
shost we tangulia kwanza afu ukienda nlletee handbag rangi black,light blue and green.
na ukipata magauni official na skirts mwake sana.
cc Kaunga

I guess utakuwa mteja wangu wa kwanza.
Hujambo lkn?
 
Last edited by a moderator:
Smile Money Stunna anakaa USA, labda tufuate ratiba yake; lkn kwa maelekezo nafikiri twaweza kwenda tu. Mimi nataka kuivaa hii fursa 100%. Twende pm kwa mipango zaidi, maana safari ya wawili si sawa na mmoja.

Twendeni tuamshe amshe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom