Fursa za biashara nchi ya Thailand

Tena wa Thai ni watu waungwana kweli,hakuna uwizi,jiji la Bangkok lina watu wengi na msongamano wa watu ni mkubwa hasa kwenye maduka na zile sehemu za kusalula nguo mpya kwa mafungu,wala hutasikia mtu anakusachi,nguoza madukani nyingi zipo kama display ukitaka mzigo unatoa oda,lakini zile za kuuzwa mezani sehemu ya wazi ndio bei rahisi sana,Ila kaa macho macho ma Ladyboy wapo wengi sana,huwezi kutofautisha kati ya mwanaume au mwanamke,huko zile sheria za M7 hazitafika milelel.Vyakula vipo vingi na matunda ya kumwaga,ila kuna harufu kali ya vyakula ambayo ni kama uvundo na kitimoto kwa wingi ingawaje kuna samaki na matunda mbalimbali,pia kuna migahawa uswahilini ambayo ni Halal.
Na mwisho jiepushe na waNaija ukiwa huko wako wengi na wengi wameo wanawake wa Kithai na wana biashara zao ,lakini biashara zao nyingine ni za sembe so ukienda ujihadhari
 

Nimecheka sana hapa kaka kuhusu ladyboy umenikumbusha mbali.
Lastime jamaa yangu alichukua ladyboy akijua ni demu kuingia nae room demu kusaula viwalo kumbe ni ladyboy jamaa alikimbia akaja kunigongea room kwangu.
Kuweni makini na ladyboy ni wazuri kama wanawake kabisa.
 
Hata jf tuna ladyboy mmoja namjua anyways safi sana money stunna
 

Mkuu nakubaliana nawe hapo kwenye red. Lakini sidhani kama watu wanaweza kuendelea wasipokuwa na siasa safi na uongozi bora. ndio maana hata humu ndani watu wanahofu na TRA, TFDA, TBS nk. ndio maana wengine wanauliza uwezekano wa kupitishia bidhaa zao Uganda au Kenya. ndio maana watu humu wanataka kujua habari za usalama wao huko Thai na habari kama kuna ubaguzi au la. hayo yote yanathibitisha umuhimu wa kuwa na uongozi bora unaoweza kuwawezesha wananchi kutumia fursa kama hizi bila kuwakwaza kwa makodi makubwa yasiyoeleweka, pasipo ucheleweshaji wa bidhaa bandarini kwa sababu za kiurasimu tu nk. lakini mwisho nakubaliana na wewe kuwa inatubidi tubalance matumizi ya muda wetu katika kujadili siasa na kutekeleza majukumu yetu ya kimaendeleo nje ya mijadala ya kisiasa.
 

Thats why they call it bangkok..........
 
Nami najiandaa vizuri panapo maajaliwa mwezi Nov. Nitatia timu Thailand kibiashara zaidi
 

Duh kujikwamua c ndio huku
 
Asante sana kwa taarifa vp kuusu smartphone na tablet upo zpo kwa bei nzuri
 
Mimi mwenyewe hilo lilikua swali langu nlkua nataka kuuliza cjajua inakuaje ila nafkiri kupitia mombasa inakua more better
 
Mkuu Dolevaby umesomeka sana japo ndio kwanza tuko kwenye utungaji wa mimba kama ingewa ni mtoto. Ila kwa kuwa tunaamini inawezekana then yatatimia muda c mrefu na ikishakuwa hivyo ni haki ya jukwaa hili kupewa mrejesho.
Wkuu vipi mlishafanikisha safari? tunaomba feedback please.
 
tusisahau na uzalishaji jamani taifa la kichuuzi ni genge la bidhaa za wengine tusiwaachie tu wageni waje kufungua viwanda nasi tukamate fursa sio kubakia kuwa machinga wa wenzetu hatutaendeleza taifa.
 
Mimi binafsi nilifanikisha na nitazidi. Sijui wengine
Mkuu nashukuru sana. Binafsi nahitaji kununua used Tractor na attachments zake kama plough, harrow rotervetor na reck. Preferably aina ya KUBOTA au John Deere. Najua naweza kuagiza kupitia kwenye mtandao, lakini nina hofu ya kutapeliwa. Nimesearch kwa mfano nikalipata Kubota M7040 for sale - Price: $23,489, Year: 2009 | Used Kubota M7040 tractors 60-79 hp - Mascus USA. I needed a cheaper option na nilidhani labda nikienda physically nitaweza kufanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…