Fursa za biashara nchi ya Thailand

Fursa za biashara nchi ya Thailand

Nchi ya Thailand ni kama unavyoona china imepiga hatua kubwa kwa viwanda na leo nitawaonyesha fursa ili kusaidiana hasa kwa wale wajasiriamali.

Kwanza kabisa wana hotel nyingi na nzuri na kwa bei rahis sana .mfano wa hotel hizo ni Airy resort bei yake ni tzsh 21,000 kuna silva gold garden bei tzsh 23,000 etc hizo zipo karibu na airport na hizo room kuna wifi, simu, maji, vitanda safi, room kubwa etc.

Mji wao mkuu ni Bangkok. Kwa wale wenye maduka ya nguo ya kuuza shirts,blouses,skirts, jackets, ties, bags etc ni fursa nzuri kwenu sababu kule vitu bei ni sawa na bure ata nguo nyingi na viatu zinazouzwa Marekani zimetoka Bangkok Thailand, China na Korea.

Sababu kuu ya bei yao kuwa ndogo ni kuwa wanatumia cheap labor na wana viwanda vingi sana.

Unaweza kununua bidhaa zako kwenye shopping mall au kwenye masoko ya bei rahisi mfano kuna soko la weekend linaitwa "chatuchak weekend market " hapo wakuu vitu bei ni sawa na bure na nguo mpya quality nzuri.

Mfano bei za tshirt, jeanz unaweza pata kuanzia 50baht sawa na dolla 1.60 adi 100 baht hizi bei ninazokutajia ni kama ukinunua kwa bidhaa moja moja kwa maana hiyo ukinunua kwa jumla bei inakuwa chini ya hapo.

Kwa bei ya kitu kimoja moja kiatu kizuri cha 60,000 bangkok utanunua kwa dolla 3 au 4.Pia unaweza kubageini kwa maana hiyo ukinunua kwa uwingi unapunguziwa. Pia kuna market nyingine kama Prutunam market.

Kwa wale wenzangu mnaopenda kufanya shopping kwenye mall Kuna shopping mall kama Terminal 21 shopping mall mbk etc. Kwa hiyo ni jukumu lako kuamua kama unafanya shopping kwa market za kawaida ambazo bei uwa cheap zaidi kutokana ufanyika sehemu ya wazi. Na ukipenda shopping mall sawa pia. kule bidhaa za heleni za kina dada na cheni zipo kule bei ya cheni ya silver ni rahis zaidi kuliko tz.

Tiket za ndege bei utegemea umekata ndege gani na umekata mapema au ...
Hivo unaweza kufatilia hilo.

Kuna wafanyabiashara wa maduka wengi kariakoo nawajua kama 3 waliotajirika kupitia kufata mzigo uko.Mwenye kuongezea ujuzi ruksa pengine kuna vitu nimesahau pia kama nimeandika kiswahili kibovu samahan.

Kazi kwenu sasa

Business opportunities nyingne je??
 
Ndio mheshimiwa bwana SAID YAKUB suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa mataifa yetu machanga ya kiafrika,kuna mengi sana nchiinawezakufaidika kama zoezi hili litafanyika.

Tunawezajifunza sana kutoka INdia na Pakistani ambao wenzetu walianza zamani sana mambo haya na kuna programs nyingi sana zilijitokjeza ambazo zimeleta faida kubwa sana katika nchi hizo.

General ZIA ULhAQ alifaulu sana kwa kutrumia pkis wanaokaa nje ya nchi ambao walileta mafanikio makubwa sana ya kiuchumi nchi humo, na sisi kama kweli serikali italitupia macho suala hilo basi tunawezakufaidika sana. Angalia suala la wataalam wa nje ,wemgine hawana elimu kama resumes zao zinavyojieleza na wapo hapa kutunyang'anya pesa zetu ambazo sisi wenyewe tunaweza tukawa na uwezo kama wao au zaidi ya o kma wananchi

peace!!!

Kwa kuongezea nguo na viatu ect vinavyotoka Thailand ni quality nzuri ukitofautisha za mainland China, nilifanya kazi ya clearing and forwarding agency wakati huo,ndipo niligundua bidhaa za Thailand kwa ubora.
Cheers
 
Tuko pamoja mkuu usijali tutakucontact!

It seems like hii thread nimeiona too late, ila naamin bado sijachelewa, naomba mnipm wakuu tupaene uzoefu, nijue wap mmefikia na tunawezaje kushirikiana wakuu, ni mtanzania kijana mwenzenu naomba msiniache kwenye hili...
 
The best thread, Money Stunna and dikembe tunashukuru kwa kutushirikisha. Ngoja nijipange 2015 nitawatafuta.
 
Last edited by a moderator:
Na mwenda pole.......hajikwai.

Hii misemo ya kiswahili kabla ujaamua kuifata angalia faida na hasara kwanza.
Money Stunna ninakubaliana na wewe kabisa "there are two sides to every coin"

kama mimi ndio nimeona hii taarifa juzi na leo niseme ninaenda Thailand wakati sijawahi kufikiria, nimeshafikiria sehemu nyingi na nimeshaenda baadhi ya Nchi ila sikuwahi kufikiria Thailand. Lazima nijipange mkuu kifedha na kiratiba. Katika yote ninashinda na zaidi ya kushinda.
 
Last edited by a moderator:
tafuta mavumba ya nauli na pocket kidogo ya kununua vifaa ambavyo utaviona huko kisha
jipange kuweppo usimiss hii kitu ni nzuri sana kwani unajifunza kuona wenzio wamefanikiwaje katika maisha na maendeleo kibiashara mkuu nafasi kama hizi ni nadra kuonekana hapa tz jipange sawasawa best

It seems like hii thread nimeiona too late, ila naamin bado sijachelewa, naomba mnipm wakuu tupaene uzoefu, nijue wap mmefikia na tunawezaje kushirikiana wakuu, ni mtanzania kijana mwenzenu naomba msiniache kwenye hili...
 
tafuta mavumba ya nauli na pocket kidogo ya kununua vifaa ambavyo utaviona huko kisha
jipange kuweppo usimiss hii kitu ni nzuri sana kwani unajifunza kuona wenzio wamefanikiwaje katika maisha na maendeleo kibiashara mkuu nafasi kama hizi ni nadra kuonekana hapa tz jipange sawasawa best[/Q

Nashukuru kwa ushahuri Ladyfurahia, nimeshajipanga binti, pesa ipo, passport ipo issue ni visa ila siwez kuanza process man-alone, ningependa kwa wale ambao wapo tayari tuji - organise tuchangamkie hii fursa...
 
hebu niwaite wenzangu wakufahamishe zaidi Kaunga, charminglady, dikembe
tafuta mavumba ya nauli na pocket kidogo ya kununua vifaa ambavyo utaviona huko kisha
jipange kuweppo usimiss hii kitu ni nzuri sana kwani unajifunza kuona wenzio wamefanikiwaje katika maisha na maendeleo kibiashara mkuu nafasi kama hizi ni nadra kuonekana hapa tz jipange sawasawa best[/Q

Nashukuru kwa ushahuri Ladyfurahia, nimeshajipanga binti, pesa ipo, passport ipo issue ni visa ila siwez kuanza process man-alone, ningependa kwa wale ambao wapo tayari tuji - organise tuchangamkie hii fursa...
 
Last edited by a moderator:
tafuta mavumba ya nauli na pocket kidogo ya kununua vifaa ambavyo utaviona huko kisha
jipange kuweppo usimiss hii kitu ni nzuri sana kwani unajifunza kuona wenzio wamefanikiwaje katika maisha na maendeleo kibiashara mkuu nafasi kama hizi ni nadra kuonekana hapa tz jipange sawasawa best
ladyfurahia naomba kujua mmejipanga kwenda lini huko? ninategemea kupata kama 7M mwisho wa mwezi yaani baada ya masiku yasiyozidi kumi toka leo naomba unijulishe ili kama itawezekana tuondoke pamoja. Itatusaidia sana tusishangae na tutakuwa na confidence ugenini....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom