TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Shukrani sana mkuu Money Stunna, kuna uzi ulikuwa unahusu Biashara ya kwenda Uganda uzi huo umenisaidia sana na pia ntautumia uzi huu wa Thai kwenda huko....
Jamani tusiogope kabisa, fursa ndio hizi!!
Kweli kabisa. Mi mwenyewe najipanga aisee...fursa zipo kibao basi tu ni kwa kuwa tunakosa right information
Last edited by a moderator: