Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi nilikua naomba kupatiwa kuhusu biashara za nywele za kichwani za kina dada,mwenye uzoefu na India nilikua naomba utupatie taarifa,alieniletea aliniambia amechukua BOMBAY(INDIA) ila hafunguki zaidi
Maana nimepata soko zuri la nywele kutoka India nililetewa mzigo kidogo, zinakimbia sana
- gharama za viza ya india
- gharama za nauli
- gharama za hoteli
- maduka maeneo gani(ya bei nafuu)
- kama kuna baadhi ya watanzania wanakwenda kibiahara huko wanaweza kutupatia taarifa zaidi
- kama nitapata mtu aliyehuko itakua vizuri
- pia naomba na changamoto zilizopo na fulsa zingine zilizopo huko
- MSAADA TAFADHARI,nategemea dec 15 nianze safari ya kwenda huko
Malick Malick pole naona uzi umekua udhi(nasubiri na mm nirekebishwe kiswahili)
Visa ya fasta 186,000/=
Nauli emirates $1,600; Ethiopian(sina hakika sana lkn ndio umoumo) $1,300/=
Hotel unaweza pata kuanzia 40,000/= mitaa ya Jasola close na metro station so usafir uhakika pande zote za Delhi
Salojin Nagar market
Hii nilimsikia mtz 1 akiongelea kuhusiana na hizo nywele zipo original na zakutengeneza tatizo sina ufahamu sana na hiyo biashara.
ahsante mkuu,nashukuru nimepata mrejesho wa kutosha,