Fursa za biashara nchini Zimbabwe

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Ukweli ni kwamba thamani ya pesa ya Zimbabwe ipo chini sana mpaka wamefikia hatua ya kususa kuitumia, pesa ya afrika kusini pamoja na dollar ndio zinatumika zaidi.

Lakini, je? hakuna fursa yoyote ile ya kibiashara?

Kama kuna mtu ameishi Zimbabwe hasa Harare anaweza kutupa uzoefu wake fursa zilizopo nchini humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…