Fursa za biashara uchina

Fursa za biashara uchina

Gamariel

Member
Joined
Sep 8, 2009
Posts
82
Reaction score
6
Naomba msaada wa kujua fursa za biashara china. Naona watu wengi wakienda china but sijui kuna potential gani , mtaji pamoja na faida. Kwa wenye info tupiamo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Unahitaji ticket na visa kwa dola kama 1500 hivi. Hotel and acconodation ni rate za kawaida. Tzs 50,000 hivi kwa siku kulala na chakula kawaida depending on ur choices.

Kuhusu biashara kuna kila kitu lakini bei ni rahisi mno. Sasa angalia biashara unayotaka kufanya, kama ni ya kuchuuza nguo, vyombo, electronics etc. Ila mashine mbali mbali ni bei nzuri pia, kama mashine za hotel, na vifaa vyake kama viti, covers, na vyombo vya jikoni.

Kusafirisha unamtumia agent, mostly hsc ndo cheapest na anachaji kwa ujazo. Kwa hiyo kama unaleta nguo za ndani etc ujue kusafirisha ni bei chee, belo moja laweza kuwa hata $100. Kama ni mashine ama vyombo inategemea, one cubic meter ni 400$ kwa non electronic na all electronics ni $ 500 kama sijakosea kidogo. Hii hela unailipa mzigo ukishafika bongo na inajumuisha kila kitu pamoja na kodi

Fikiria kwanza unachotaka kufanya then tufikirie kiasi cha mtaji.
 
Unahitaji ticket na visa kwa dola kama 1500 hivi. Hotel and acconodation ni rate za kawaida. Tzs 50,000 hivi kwa siku kulala na chakula kawaida depending on ur choices.

Kuhusu biashara kuna kila kitu lakini bei ni rahisi mno. Sasa angalia biashara unayotaka kufanya, kama ni ya kuchuuza nguo, vyombo, electronics etc. Ila mashine mbali mbali ni bei nzuri pia, kama mashine za hotel, na vifaa vyake kama viti, covers, na vyombo vya jikoni.

Kusafirisha unamtumia agent, mostly hsc ndo cheapest na anachaji kwa ujazo. Kwa hiyo kama unaleta nguo za ndani etc ujue kusafirisha ni bei chee, belo moja laweza kuwa hata $100. Kama ni mashine ama vyombo inategemea, one cubic meter ni 400$ kwa non electronic na all electronics ni $ 500 kama sijakosea kidogo. Hii hela unailipa mzigo ukishafika bongo na inajumuisha kila kitu pamoja na kodi

Fikiria kwanza unachotaka kufanya then tufikirie kiasi cha mtaji.

mkuu mimi ninakupongeza sana kwa jinsi ulivyo mdadavulia muuliza swali inaonekana wewe ni mstaarabu sana na ynahekima na umeenea sawasawa kwenye siti za great thinkers nimelazimika kuwa wazi sababu siku hizi jukwaa limevamiwa na baadhi ya wahuni ambao badala ya kunsaidia mhitaji wao hutoa maneno ya kejeli HONGERA SANA KEEP IT UP !!!
 
fahamu kwanza kuwa china wanatengeneza bidhaa ambazo zinauzwa marekani pia.
uzuri wa wachina ukifika wanakuuliza kabisaa unataka quality gani? ofcoz bei zinatofautiana na ukitaka best quality. faida ni kubwa mno kwa low quality stuff (hata 10 times) ila kwa high quality inaweza kuwa 4 times etc. mie sinunui fast moving products, nanunua for personal use. so saving zaidi ya nusu ya gharama na kuzurura nayo ni dili
Huo urahisi wa bei ni kwa sababu ya low quality ama hata vitu vya high quality bado bei ni mchekea?
 
hehehehe kanibahatisha tu wakati sijalipuliza lol
mkuu mimi ninakupongeza sana kwa jinsi ulivyo mdadavulia muuliza swali inaonekana wewe ni mstaarabu sana na ynahekima na umeenea sawasawa kwenye siti za great thinkers nimelazimika kuwa wazi sababu siku hizi jukwaa limevamiwa na baadhi ya wahuni ambao badala ya kunsaidia mhitaji wao hutoa maneno ya kejeli HONGERA SANA KEEP IT UP !!!
 
rafiki yangu mmoja ambae ni mfanyabiashara huwa analalamika sana kuhusu nguo na vipodozi vya marekani. anasema faida is only twice, na same quality akitoa china anauza like 4 to 6 times ya bei aliyonunulia
hakuna nchi yenye fursa nzuri kama china kwa sasa...kanunue mzigo kwingine utaona faida itarudisha kiduchu sana.
 
jf ni kila kitu, kuna watu wa kila namna.
kwa maelezo yako king'asti inaelekea biashara ya kuchukua mzigo china inalipa sana, ngoja tuokote hela na sie tufanye tutajirike.
 
fahamu kwanza kuwa china wanatengeneza bidhaa ambazo zinauzwa marekani pia.
uzuri wa wachina ukifika wanakuuliza kabisaa unataka quality gani? ofcoz bei zinatofautiana na ukitaka best quality. faida ni kubwa mno kwa low quality stuff (hata 10 times) ila kwa high quality inaweza kuwa 4 times etc. mie sinunui fast moving products, nanunua for personal use. so saving zaidi ya nusu ya gharama na kuzurura nayo ni dili

Ni mji gani huko China wewe unaenda?
 
Sijui kwanini watu huwa wanaperception mbaya na China,china anaquality zote,ni wewe tuu na pesa yako!
 
China me sijaenda lakini yaonekana ukipatia cha kufanya hutajuta,i have a friend ye ni kati ya watu waloleta simu za mchina kipindi cha mwanzo,ilikuwa ngumu kukubalika lakini saivi ndo kimbilio la wengi,...Hela alizonazo jamaa mhhh.....acha tuuu
 
Unahitaji ticket na visa kwa dola kama 1500 hivi. Hotel and acconodation ni rate za kawaida. Tzs 50,000 hivi kwa siku kulala na chakula kawaida depending on ur choices.

Kuhusu biashara kuna kila kitu lakini bei ni rahisi mno. Sasa angalia biashara unayotaka kufanya, kama ni ya kuchuuza nguo, vyombo, electronics etc. Ila mashine mbali mbali ni bei nzuri pia, kama mashine za hotel, na vifaa vyake kama viti, covers, na vyombo vya jikoni.

Kusafirisha unamtumia agent, mostly hsc ndo cheapest na anachaji kwa ujazo. Kwa hiyo kama unaleta nguo za ndani etc ujue kusafirisha ni bei chee, belo moja laweza kuwa hata $100. Kama ni mashine ama vyombo inategemea, one cubic meter ni 400$ kwa non electronic na all electronics ni $ 500 kama sijakosea kidogo. Hii hela unailipa mzigo ukishafika bongo na inajumuisha kila kitu pamoja na kodi

Fikiria kwanza unachotaka kufanya then tufikirie kiasi cha mtaji.

HSC ya aliyemwagiwa tindikali?
 
Back
Top Bottom