Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Kwahiyo gunia 10 za mkaa na asali lita 100 sawa na 400K thamani ya simu.mtaji ndio kisingizio chenu kikuu....cha ajabu mna smart phone za laki nne, sijui hela za kununua hizo simu mnapataga wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani uchukue asali dar ukauze tabora? Huo si ukichaa
Mimi nilipoanza kulima ndipo niliona Dar kuna vijana wazembe sana yaani wamekaa na wanawaza kuuza viatu na nguo tu hakuna mawazo mbadala yaani hawawazi mambo makubwa.
Nimetoka Dar na nimefanikiwa katika kilimo ila Dar wanawaza tu kufungua maduka ya nguo, viatu na simu. Mfano kijana hapo Dar kuna magunia mengi ya mkaa yanaingia kila siku kutoka maeneo mbalimbali ukichukua magunia yako 10 na Canter upeleke Morogoro au Tanga ndani ya siku 3 mkaa umeisha unarudi Dar kufunga mzigo mwingine.
Basi achana na hilo la mkaa, chukua zako asali lita kuanzia 100 weka kwenye vibebeo safi na nembo yako pia, ingia Tabora au Singida uza ndani ya muda mfupi unarudi kufunga mzigo mwingine hiyo kumbuka ni chini ya wiki moja unaweza kuuza lita 100 za asali.
Chukua mafuta ya Alizeti kiasi cha kutosha ingia Mwanza piga biashara usisubiri serikalini ikuambie fursa, fursa ni nyingi sana hapo Dar ila wengi wamekariri fursa aina moja tu.
Kama kuna yeyote atakuwa tayari nitamsaidia alete biashara yake huku nitamsaidia kutafuta masoko. Pia mjaribu kwenye kilimo sio biashara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
๐๐๐๐๐ Hata wale jamaa wa vibali wakikutana na wewe watasema huyu mtu ni chizi na watakuacha, wala hawatakukamataWee jamaa itakuwa una matatizo ya akili...! Yani utoe mkaa dar upeleke mikoani??????[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanii wanaweza kukufunga kambaa...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata wale jamaa wa vibali wakikutana na wewe watasema huyu mtu ni chizi na watakuacha, wala hawatakukamata
Mkuu mbona mtoa mada alimaanisha ulichosema no mbinu tuu ya uwazilishaji binafsi nimeipenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli ununue mkaa kutoka dar upeleke morogoro mtoa mada uko serious kweli?
Utoe asali dar upeleke tabora au singida hiyo faida utaipataje sasa.
Mada uliyoleta ni nzuri ila punguza utani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
this hit me straight!.Tatizo ni moja tu linalotuumiza vijana wa dar.
Tunataka tufanye biashara zinazorudisha faida siku hiyo hiyo ili tuzipeleke kwenye anasa
Sent using Jamii Forums mobile app