Fursa za biashara zipo, vijana wa Dar es Salaam ni wazembe tu

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using LEAGOO M12
 
waliosoma tu alimradi kuona akichoandika watabaki kumuona mtoa mada ni mjinga ila kwa waliofikiria mpka ndani ya mistari hyo watamuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajuwa kuandika au kuzungumza ni rahisi sana. Je amefikilia mtaji ametoa wapi hyo kijana wa mtaani. Anajuwa changamoto za kusafiri biashara zilivyo au anaona mtu anashusha mzigo wake yeye anahisi simple tu kama mjomba ake anavyofanya hiyo kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo siyo rahsi kama unavyofikria .....
 
Mku uko Mkoa gani.
Kwani nipo Dar natafuta biashara mbadala
 
Yani utoe mkaa dar upeleke moro? Hii ni moja ya maajabu saba ya dunia ni sawa na kutoa maji kisimani kwenda kujaza baharini
 
Anifochunatiri mleta mada kaukimbia uzi wake maana si kwa matango pori haya aliyoyaleta.
 
Sasa hapo si we ni kujiongeza tuuu
Mkaa toa mkoani leta dar Asali chukua tabora Singida leta dar unaafunga hesabu
 
kila mtu anaishi apendavyo,usifosi wat kufanana kama umefanikiwa kwenye kilimo ni wewe,hao wanaoza nguo au viatu ni biashara zao
 
Hivi kweli ununue mkaa kutoka dar upeleke morogoro mtoa mada uko serious kweli?

Utoe asali dar upeleke tabora au singida hiyo faida utaipataje sasa.

Mada uliyoleta ni nzuri ila punguza utani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi hapo ni kufanya kinyume chake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…