Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #281
#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu uzi ni wa muhimu kwa vijana ila wazo langu HATA HIZO KAZI AMBAZO ZIPO CHINI YA MADALALI WEKA ILA KUWE NA UAMINIFU WA PESA ZA WATU NA UNASEMA KABISA HII IPO CHINI YA DALALI UTAKUA UMEOKOA VIJANA SANA
mkuu achana na hao watoto mtafutaji haangalii nini kapoteza bali anaangalia je kama ingetiki so weka vitu tokoe jahazi la vijanaIli wakipigwa wanituhumu na mm?. Zile kazi kwa risk takers hawqna complain nazo ila ukikutana na vijana waliotoka Facebook na wanaobalehe wataleta nongwa. So bora tuendelee na hizi
😎 freshmkuu achana na hao watoto mtafutaji haangalii nini kapoteza bali anaangalia je kama ingetiki so weka vitu tokoe jahazi la vijana
Mkuu ukipata fursa za TRAINEE kwenye hoteli yoyote Ile naomba utujuze.Habari za muda huu,
Nisikuchoshe sana, huu uzi ni kwa ajili ya wapambanaji wote.. michongo hii inapatikana zanzibar (Unguja).
HIRING A RECEPTIONIST AT ZURI ZANZIBAR 🛎️
We are seeking a professional and proactive receptionist to join our team at ZURI ZANZIBAR located in Kendwa. The ideal candidate must have excellent communication in English and customer service skills, as well as previous experience in a similar role within five star property.
Responsibilities include greeting guests, answering phone calls, making reservations, and providing information about the resort and local area. If you like talking to guests from all around the world, have a passion for hospitality and enjoy working in a beautiful beachfront setting, we would love to hear from you.
Apply now to be part of our luxury resort team in Zanzibar. Please, send your CV to careers@zurizanzibar.com. Only selected candidates will be contacted. Recommendations are welcome. 🌴
Mkuu ukipata hizo nafasi za TRAINEE huko mashambani za kuanzia mwezi wa nne tujurishe mkuu.....elimu form 4...... English yangu ni kama ya Obama Haina makandokando kama ya kinaijeria.Anahitajika accountant (mtu wa mahesabu awekasomea), uwe unajua mambo yote yanayohusy accountant uzoefu USIPUNGUE miaka mitano mshara mnono na utapewa sehem ya kukaa tuwasiliane 0687014106 kazi ipo nungwi Zanzibar
Una unri gani?Mkuu ukipata fursa za TRAINEE kwenye hoteli yoyote Ile naomba utujuze.
Na Miaka 27 mkuu. Vp hakuna nafasi kwa watu wa umri huo?Una unri gani?
Mkuu na mimi nnashida na hizo kazi za trainee umri 35 elimu form six english intermediate sio fluent sana naishi Dar ikitokea fursa navuka maji chapUna unri gani?
Mkuu na mimi nnashida na hizo kazi za trainee umri 35 elimu form six english intermediate sio fluent sana naishi Dar ikitokea fursa navuka maji chap