Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

Ili wakipigwa wanituhumu na mm?. Zile kazi kwa risk takers hawqna complain nazo ila ukikutana na vijana waliotoka Facebook na wanaobalehe wataleta nongwa. So bora tuendelee na hizi
huu uzi ni wa muhimu kwa vijana ila wazo langu HATA HIZO KAZI AMBAZO ZIPO CHINI YA MADALALI WEKA ILA KUWE NA UAMINIFU WA PESA ZA WATU NA UNASEMA KABISA HII IPO CHINI YA DALALI UTAKUA UMEOKOA VIJANA SANA
 
Anahitajika accountant (mtu wa mahesabu awekasomea), uwe unajua mambo yote yanayohusy accountant uzoefu USIPUNGUE miaka mitano mshara mnono na utapewa sehem ya kukaa tuwasiliane 0687014106 kazi ipo nungwi Zanzibar
 
Mkuu ukipata fursa za TRAINEE kwenye hoteli yoyote Ile naomba utujuze.
 
Anahitajika accountant (mtu wa mahesabu awekasomea), uwe unajua mambo yote yanayohusy accountant uzoefu USIPUNGUE miaka mitano mshara mnono na utapewa sehem ya kukaa tuwasiliane 0687014106 kazi ipo nungwi Zanzibar
Mkuu ukipata hizo nafasi za TRAINEE huko mashambani za kuanzia mwezi wa nne tujurishe mkuu.....elimu form 4...... English yangu ni kama ya Obama Haina makandokando kama ya kinaijeria.
 
Trainee sio kazi mkuu, ni field base learning. Inalipiwa, although umri umesogea kidogo.. mcheki jamaa hapa anaitwa Vicente 0719 029 990. Mwambie nataka trainee napendelea iwe na makazi iwe shamba.

Watakuchaji pesa ila utalipa mpaka upate kwanza. Wakikuambia golden tulip airpot wambie unataka golden palm
Mkuu na mimi nnashida na hizo kazi za trainee umri 35 elimu form six english intermediate sio fluent sana naishi Dar ikitokea fursa navuka maji chap
 
Kalaga Baho Nongwa.God bless you Mkuu, thread bola sana kesho lazima ntaanza deal job ulizo Post,ukipata nyingine endelea kutusahidia wengine hatuna connection nashida kweli na kazi Mkuu.naomba nije DM Yako Kam utajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…