Fursa za kibiashara kati ya Tanzania na kenya

Fursa za kibiashara kati ya Tanzania na kenya

Calyx24

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2018
Posts
213
Reaction score
292
wakuu tumetumia jukwaa hili kwa kuchangia hoja mbali mbali kati ya kenya na tanzania pia ningependa kujua fursa za kibiashara ambazo tunaweza kufanya sisi kama majirani mkenya unaweza kuuliza fursa kwa watanzania pia mtanzania unaweza kuuliza kwa mkenya

Fursa hizo ni kama vile
-Biashara ya nguo
-Biashara ya nafaka
-Biashara ya vifaa vya ujenzi na kadhalika
 
Back
Top Bottom