BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Habari zenu wakuu,
Mara kadhaa nimekuwa nikisikia sikia kuwa Comoro kuna fursa nyingi za kibiashara lakini sijafahamu hasa ni fursa zipi zilizopo. Kwa wale watafutaji wanaozunguka sehemu mbalimbali, ningependa kufahamu fursa za kibiashara zilizopo Comoro.
Natanguliza shukrani
Cc: Zanzibar Spices
Mara kadhaa nimekuwa nikisikia sikia kuwa Comoro kuna fursa nyingi za kibiashara lakini sijafahamu hasa ni fursa zipi zilizopo. Kwa wale watafutaji wanaozunguka sehemu mbalimbali, ningependa kufahamu fursa za kibiashara zilizopo Comoro.
Natanguliza shukrani
Cc: Zanzibar Spices