Fursa za uwekezaji nchi wanachama wa Afrika Mashariki

Fursa za uwekezaji nchi wanachama wa Afrika Mashariki

Cainan

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
461
Reaction score
540
Habarini Wana EAC

Mimi nmekuwa msomaji wa mada nyingi sana ambazo zimekuwa zikianzishwa katika section ya forum hii

Kikubwa zaidi nilicho observe ni mashindano. Tz vs Kenya nyingi mno katika aspect tofauti ila kwa watu wapenda fursa au exposure katika eneo letu la East Africa kama vijana wenye ndoto ya kubadilisha uelekeo wa nchi zetu na maendeleo kiumjula

Ningependa tu focus katika fursa ambazo tunaweza nufaika nazo katika nchi zetu za East Africa

Ile dhana ya ubinafsi ndio inayotuangusha watu weusi (unyumbani). Angalia Leo hii China na USA na big powers nyingine zinavyotumia fursa au opportunity za kuwekeza katika nchi nyingine lakini kwa watu weusi hili jambo kidogo halijachukuliwa umakini mkubwa

Kwa kutambua hayo. NAOMBENI NDG ZANGU WA KENYA, UUGAND, TZ NA NCHI NYINGINE ZA UKANDA WA EAST AFRICA TUWEKE AU TUJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI AMBAZO WAFANYABIASHARA WA NCHI ZOTE WANAWEZA VUTIWA NA WAKAWEKEZA

AYA MASUALA YA KUTAMBISHIANA SIJUI HAVE AND HAVE NOT hayatusaidii sana na sioni kama Kuna umuhimu hasa kwa sisi vijana kujikita huko

Hivyo kama kuna exhibitions maalum ambazo hufanyika katika nchi zetu ambazo huongelea fursa za biashara au hukutanisha wafanyabiashara ningependa tujuzane Ili tufungue mipaka na kupelekea ukuaji wa kiuchumi either individual au countrywide

Hayo ni maoni yangu, najua people think ddifferen

KARIBUNI KWA IDEAS ZENU KWA MAENDELEO YETU
 
Naomba mods arekebishe title isomeke UWEKEZAJI badala ya UWEKUZAJI
 
Habarini Wana EAC

Mimi nmekuwa msomaji wa mada nyingi sana ambazo zimekuwa zikianzishwa katika section ya forum hii

Kikubwa zaidi nilicho observe ni mashindano .... Tz vs Kenya nyingi mno katika aspect tofauti
Hila kwa watu wapenda fursa au exposure katika eneo letu la East Africa kama vijana wenye ndoto ya kubadilisha uelekeo wa nchi zetu na maendeleo kiumjula

Ningependa tu focus katika fursa ambazo tunaweza nufaika nazo katika nchi zetu za East Africa

Ile dhana ya ubinafsi ndio inayotuangusha watu weusi (unyumbani) ... Angalia Leo hii China na USA na big powers nyingine zinavyotumia fursa au opportunity za kuwekeza katika nchi nyingine lakini kwa watu weusi hili jambo kidogo halijachukuliwa umakini mkubwa

Kwa kutambua hayo.......NAOMBENI NDG ZANGU WA KENYA , UGANDA , TZ NA NCHI NYINGINE ZA UKANDA WA EAST AFRICA TUWEKE AU TUJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI AMBAZO WAFANYABIASHARA WA NCHI ZOTE WANAWEZA VUTIWA NA WAKAWEKEZA

AYA MASUALA YA KUTAMBISHIANA SIJUI HAVE AND HAVE NOT ....hayatusaidii sana na sioni kama Kuna umuhimu hasa kwa sisi vijana kujikita huko

Hivyo kama Kuna exhibitions maalum ambazo hufanyika katika nchi zetu ambazo huongelea fursa za biashara au hukutanisha wafanyabiashara ningependa tujuzane Ili tufungue mipaka na kupelekea ukuaji wa kiuchumi either individual au countrywide

Hayo ni maoni yangu ...najua people think different
KARIBUNI KWA IDEAS ZENU KWA MAENDELEO YETU

Huwezi epuka mashindano kati ya Kenya na Tz, that’s Traditional.
Although there are lots of business opportunities kwenye ukanda huu Mkuu, hasa kwetu vijana wenye uchu wa kutusua.
Sehemu kama South Sudan inaezakuwa ni soko zuri kwa bidhaa za Tz.
 
Huwezi epuka mashindano kati ya Kenya na Tz, that’s Traditional.
Although there are lots of business opportunities kwenye ukanda huu Mkuu, hasa kwetu vijana wenye uchu wa kutusua.
Sehemu kama South Sudan inaezakuwa ni soko zuri kwa bidhaa za Tz.
South Sudan ni himaya ya Kenya. Tanzania ina viwanda gani vya kutoa bidhaa bora kushindana na Kenya sokoni?
Nyinyi komaaeni na kulima mahindi na vitunguu.
 
South Sudan ni himaya ya Kenya. Tanzania ina viwanda gani vya kutoa bidhaa bora kushindana na Kenya sokoni?
Nyinyi komaaeni na kulima mahindi na vitunguu.

Cc [mention]Cainan [/mention] hii ndio sampuli ya wakenya sasa.. [emoji38][emoji38][emoji38]
Na hii ni trend hadi kwa viongozi wao, hawa kudeal nao ni kuwapelekea moto haswa kama jpm alivyokuwa anawafanya.
 
Kutambiana huku kusikupe tabu kiongozi, ni jambo la kawaida mara moja moja kutunishiana misuli na kuonyesha makucha ila haimaanishi mengine hayaendelei. Afrika Mashariki tunahusiana sana kibiashara, hapa binafsi haipiti siku bila ya mimi kufanya shughuli na Mtanzania au Mganda na hivi tayari nimetanua wigo langu hadi Sudan Kusini.

Likija suala la biashara huwa tunayaweka pembeni matani yote na kuwa serious, ila mara moja moja tunaingia humu kutupia neno.
 
Cc [mention]Cainan [/mention] hii ndio sampuli ya wakenya sasa.. [emoji38][emoji38][emoji38]
Na hii ni trend hadi kwa viongozi wao, hawa kudeal nao ni kuwapelekea moto haswa kama jpm alivyokuwa anawafanya.
Wacha kulialia, weka fursa humu kama alivyoomba mleta mada kama unazo la sivyo endelea kutulia hapo Tandale...hehehe
 
Wacha kulialia, weka fursa humu kama alivyoomba mleta mada kama unazo la sivyo endelea kutulia hapo Tandale...hehehe

Fursa za kupiga hela ni nyingi sana hapa Tz, ndio maana Tz ina idadi kubwa y’a dollar milionaires kuliko kenya, Uganda, rwanda na Burundi Combined,
Muhimu awe na pa kuanzia,
Kwa sasa mimi nimewekeza kwenye Dhahabu na Kilimo,
Fursa kubwa ninayoiona kwa watz hapo Kenya ni kuwaletea vyakula. Kama vile mahindi, Mchele, beans, spices nk maana mna njaa sana, na mlivyo mafukara hamuwezi mudu maisha bila ugali mkubwa na sukuma wiki hivyo Tzs affordable farm peoduce is price effective, Kenya soko la mahindi ni la uhakika . Rafiki yangu analeta mchele hapo mombasa kila mwezi malori matatu, na pia analeta chumvi hapo mombasa, hii inampa pesa lakini pia anawasaidia kupunguza udumavu miongoni mwa wakenya ambao takwimu zinaonesha 3/10 ya watoto chini ya miaka 5 hapo Kenya wamedumaa
 
Fursa za kupiga hela ni nyingi sana hapa hapa Tz, Muhimu awe na pa kuanzia,
Kwa sasa mimi nimewekeza kwenye Dhahabu na Kilimo,
Fursa kubwa ninayoiona kwa watz hapo Kenya ni kuwaletea vyakula. Kama vile mahindi, Mchele, beans, spices nk maana mna njaa sana, na mlivyo mafukara hamuwezi mudu maisha bila ugali mkubwa na sukuma wiki. Rafiki yangu analeta mchele hapo mombasa kila mwezi malori matatu, na pia analeta chumvi hapo mombasa, hii inampa pesa lakini pia anawasaidia kupunguza udumavu miongoni mwa wakenya ambao takwimu zinaonesha 3/10 ya watoto chini Kenya ya miaka 5 hapo Kenya wamedumaa

Hehehe unavyojikweza, eti umewekeza kwenye dhahabu....halafu kila Mtanzania ambaye anataka aonekane ndiye, huwa lazima ataje dhahabu na anavyomiliki kitalu. Hizo ni kazi na Wachina na Waarabu, nyie wengine walalahoi mlime mahindi tununue maana hela tunazo ili muondokane na umaskini, leo hii Kenya inawazidi kiuchumi mara mbili kisa uzembe wenu na kushindwa kutumia ubongo....Waarabu wametafuna madini kama yote huko mumebaki na mahandaki matupu.hehehehe

Wazungu wametoa tahadhari itabidi msaidiwe maana mpo hali ya hovyoo IMF raises red flag over Tanzania’s bleak economic outlook
 
Hehehe unavyojikweza, eti umewekeza kwenye dhahabu....halafu kila Mtanzania ambaye anataka aonekane ndiye, huwa lazima ataje dhahabu na anavyomiliki kitalu. Hizo ni kazi na Wachina na Waarabu, nyie wengine walalahoi mlime mahindi tununue maana hela tunazo ili muondokane na umaskini, leo hii Kenya inawazidi kiuchumi mara mbili kisa uzembe wenu na kushindwa kutumia ubongo....Waarabu wametafuna madini kama yote huko mumebaki na mahandaki matupu.hehehehe

Wazungu wametoa tahadhari itabidi msaidiwe maana mpo hali ya hovyoo IMF raises red flag over Tanzania’s bleak economic outlook

Heheh, wakenya bwana eti uchumi mkubwa, uchumi gani huo hela hamna na njaa inawatandika vilivyo [emoji3][emoji3][emoji3]
Njoo siku moja nikupeleke Chunya ukaone ilivyo rahisi kupiga pesa ya dhahabu, na uone vile vijana wa Kitz mamia kwa mamia hata mabinti wanavoendesha biashara zao za dhahabu na wanavyopush magari makali kirahisi Sanaa..
Tatizo mkikaa mabandani huko kibera halafu mkatoka mkaenda uhuru park basi mnaona kama ndio Maisha yenyewe hayo. Na propaganda za jubiloot kuwa kenya is powerhouse basi mnakenuua mnaona mmemaliza yaani [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi uwekezaji wa dhahabu na kilimo ninafanya tu kama side hustle zangu as
Nafanya kazi na international organization, I normally do visits Mbeya na Iringa quarterly kuangalia progress ya kazi.
Unaweza kuja Dm pia nikutoe tongotongo.
Yuko mkenya mmoja ni rafiki yangu amejichimbia Tukuyu mbeya anazalisha michi ya parachichi na macadamia nuts, he is making money na Hana namu ya kurudi misri tena kama wewe ulivyotelekeza familia ukazamia bongo.

Huku bongo tuna unlimited opportunities,
Yaani Ardhi ipo bwelele,
Natural resources zipo bwelele
Miundombinu ya usafirishaji, Maji, Umeme vyote vipo. Ushindwe wewe tu
 
Heheh, wakenya bwana eti uchumi mkubwa, uchumi gani huo hela hamna na njaa inawatandika vilivyo [emoji3][emoji3][emoji3]
Njoo siku moja nikupeleke Chunya ukaone ilivyo rahisi kupiga pesa ya dhahabu, na uone vile vijana wa Kitz mamia kwa mamia hata mabinti wanavoendesha biashara zao za dhahabu na wanavyopush magari makali kirahisi Sanaa..
Tatizo mkikaa mabandani huko kibera halafu mkatoka mkaenda uhuru park basi mnaona kama ndio Maisha yenyewe hayo. Na propaganda za jubiloot kuwa kenya is powerhouse basi mnakenuua mnaona mmemaliza yaani [emoji3][emoji3][emoji3]

Mimi uwekezaji wa dhahabu na kilimo ninafanya tu kama side hustle zangu as
Nafanya kazi na international organization, I normally do visits Mbeya na Iringa quarterly kuangalia progress ya kazi.
Unaweza kuja Dm pia nikutoe tongotongo.
Yuko mkenya mmoja ni rafiki yangu amejichimbia Tukuyu mbeya anazalisha michi ya parachichi na macadamia nuts, he is making money na Hana namu ya kurudi misri tena kama wewe ulivyotelekeza familia ukazamia bongo.

Huku bongo tuna unlimited opportunities,
Yaani Ardhi ipo bwelele,
Natural resources zipo bwelele
Miundombinu ya usafirishaji, Maji, Umeme vyote vipo. Ushindwe wewe tu

Hehehe Kwa namna kila Mtanzania huwa anajisifia kuchuma dhahabu ingekua kila Mtanzania anazo hela kama za Laizer, hilo soko la madini mlishatafunwa na Waarabu, Wahindi na Wasouth, nyie wengine wote muendelee kulima mihogo, na mahindi mtuuzie maana jeuri ya hela tunayo.
Nchi yote hiyo mna kila kitu sema mnatafunwa sana mpaka leo hii kainchi kadogo kama Kenya kanawazidi kiuchumi mara mbili, ukizingatia nusu ya nchi yetu ni kame mithili ya jangwa.
Hivi ile dili ya Noah kwa kila Mtanzania ilibuma au bado mna hayo maono.....hehehe yule mzee bana, halafu kawapigisha makelele ya makinikia na bado mkarudi kule kule na mahesabu yale yale.
Muda sasa sijamskia yule profesa wenu aliyekua anamshauri, yule aliyefuata mataputapu Madagascar eti dawa ya corona.
 
Huwezi epuka mashindano kati ya Kenya na Tz, that’s Traditional.
Although there are lots of business opportunities kwenye ukanda huu Mkuu, hasa kwetu vijana wenye uchu wa kutusua.
Sehemu kama South Sudan inaezakuwa ni soko zuri kwa bidhaa za Tz.
Mabishano yawe na tija sio ya kuringia vitu au watu ....Kuna watu wengine tupo JF for learning...ko ikiwezekana tujulishane fursa ambazo zinaweza zikatusaidia
 
Cc [mention]Cainan [/mention] hii ndio sampuli ya wakenya sasa.. [emoji38][emoji38][emoji38]
Na hii ni trend hadi kwa viongozi wao, hawa kudeal nao ni kuwapelekea moto haswa kama jpm alivyokuwa anawafanya.
We know how use our neighbors or enemies ...haina shida sisi tunachotaka kikubwa ni ku secure important opportunities ambazo zinaweza zikatutoa
 
Kutambiana huku kusikupe tabu kiongozi, ni jambo la kawaida mara moja moja kutunishiana misuli na kuonyesha makucha ila haimaanishi mengine hayaendelei. Afrika Mashariki tunahusiana sana kibiashara, hapa binafsi haipiti siku bila ya mimi kufanya shughuli na Mtanzania au Mganda na hivi tayari nimetanua wigo langu hadi Sudan Kusini.

Likija suala la biashara huwa tunayaweka pembeni matani yote na kuwa serious, ila mara moja moja tunaingia humu kutupia neno.
Tangu nianze kupitia nyuzi za EA section mwaka 2015 sijawahi kuona hizo fursa za kibiashara zikijadiliwa na ndio mana nikaomba kama Kuna uwezekano wa kutoa ideas au opportunity za ku undertake tuambizane au exhibitions ambazo tunaweza kujifunza uwekezaji iwe Kenya au tz hata uganda
 
Fursa za kupiga hela ni nyingi sana hapa Tz, ndio maana Tz ina idadi kubwa y’a dollar milionaires kuliko kenya, Uganda, rwanda na Burundi Combined,
Muhimu awe na pa kuanzia,
Kwa sasa mimi nimewekeza kwenye Dhahabu na Kilimo,
Fursa kubwa ninayoiona kwa watz hapo Kenya ni kuwaletea vyakula. Kama vile mahindi, Mchele, beans, spices nk maana mna njaa sana, na mlivyo mafukara hamuwezi mudu maisha bila ugali mkubwa na sukuma wiki hivyo Tzs affordable farm peoduce is price effective, Kenya soko la mahindi ni la uhakika . Rafiki yangu analeta mchele hapo mombasa kila mwezi malori matatu, na pia analeta chumvi hapo mombasa, hii inampa pesa lakini pia anawasaidia kupunguza udumavu miongoni mwa wakenya ambao takwimu zinaonesha 3/10 ya watoto chini ya miaka 5 hapo Kenya wamedumaa
Nikipata habari kama hizi napata some hope ya kuwa Kuna wigo mpana wa kukuza biashara
 
Mkuu MK254 Kuna exhibitions zozote ambazo hufanyika Kenya ambazo zinaweza kutufungua linapofikia swala la uwekezaji au biashara....next year nataka nianze safari ya kuzunguka EAST AFRICA especially KENYA
 
Mkuu MK254 Kuna exhibitions zozote ambazo hufanyika Kenya ambazo zinaweza kutufungua linapofikia swala la uwekezaji au biashara....next year nataka nianze safari ya kuzunguka EAST AFRICA especially KENYA

Maonyesho mengi hufanyika, kama ambavyo kwenu huko mna Nane Nane, Saba Saba n.k. Sisi pia tunazo za kila aina ikiwemo moja ambayo hutendeka nchi yote inaitwa ASK, halafu kuna hii moja itakuwepoa mnamo Novemba kuanzia tarehe 18 hadi 20, wajasiria mali kutokea mataifa ya nje wataruhusiwa kuja kuonyesha bidhaa na mazao yao, ijue zaidi hapa Kenya International Trade Exhibition Nairobi 2021
 
Maonyesho mengi hufanyika, kama ambavyo kwenu huko mna Nane Nane, Saba Saba n.k. Sisi pia tunazo za kila aina ikiwemo moja ambayo hutendeka nchi yote inaitwa ASK, halafu kuna hii moja itakuwepoa mnamo Novemba kuanzia tarehe 18 hadi 20, wajasiria mali kutokea mataifa ya nje wataruhusiwa kuja kuonyesha bidhaa na mazao yao, ijue zaidi hapa Kenya International Trade Exhibition Nairobi 2021
Nashukuru kwa hizi taarifa mkuu.. thumb up
 
Hehehe Kwa namna kila Mtanzania huwa anajisifia kuchuma dhahabu ingekua kila Mtanzania anazo hela kama za Laizer, hilo soko la madini mlishatafunwa na Waarabu, Wahindi na Wasouth, nyie wengine wote muendelee kulima mihogo, na mahindi mtuuzie maana jeuri ya hela tunayo.
Nchi yote hiyo mna kila kitu sema mnatafunwa sana mpaka leo hii kainchi kadogo kama Kenya kanawazidi kiuchumi mara mbili, ukizingatia nusu ya nchi yetu ni kame mithili ya jangwa.
Hivi ile dili ya Noah kwa kila Mtanzania ilibuma au bado mna hayo maono.....hehehe yule mzee bana, halafu kawapigisha makelele ya makinikia na bado mkarudi kule kule na mahesabu yale yale.
Muda sasa sijamskia yule profesa wenu aliyekua anamshauri, yule aliyefuata mataputapu Madagascar eti dawa ya corona.
Mfuata mataputapu Madagascar......... 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom