Fursa Zimelala Wapi?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Nchi yangu Tanzania imejaa fursa nyingi ambazo bado hazijachunguzwa kikamilifu. Kutokana na rasilimali tulizonazo, kuna maeneo mengi ambapo fursa zinaweza kupatikana, kutoka kwa kilimo, nishati mbadala, teknolojia, na utalii. Lakini, fursa hizi zipo wapi na tunawezaje kuzichangamkia ili kukuza uchumi na maendeleo yetu?

Je, tunajua vipi jinsi ya kubaini fursa zilizozagaa katika sekta hizi na jinsi ya kuzitumia kwa manufaa yetu?

Wadau tuambiane fursa katika nchi Yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…