Fursa zipo nyingi sana, 5 Online Projects

Fursa zipo nyingi sana, 5 Online Projects

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,644
Reaction score
1,648
Habari wana board!

Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!



Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT (Information Technology) hivyo kwa bidi sana nikaanza kujifunza mambo ya “Coding”.

Kwa kweli ilikuwa safari ngumu sana na ndefu, yaani ukiacha kujifunza siku moja tu, unajikuta umesahau kila kitu, Mungu mkubwa, nilitia nia na bidi haswa!

Project yangu ya kwanza kabisa ilikuwa ni kuunda tovuti ambayo itawawezesha wenye guest house, lodges na huduma zote za malazi kuweza kutangaza huduma zao, fursa hii niliipata hapa hapa JF baada ya kuona wapo watu ambao wamekuwa wakiulizia sehem nzuri za kufikia kwenye maeneo mbalimbali waliyokuwa wakienda.

Hii project haikufanya vyema sana, ingawaje idea yake ilikuwa po asana, lakini nilikosa sponsor maana by that time nilikuwa nipo nipo tuu mtaani.

Leo nimefanikiwa kuwa na 5 Online Projects ambazo natamani sana wewe msomaji uzipitie na utie neno. Nashindwa kuweka link kwa ajili ya sharia ngumu za JF, ila kama utahitaji maelezo Zaidi ntatoa..

  • Marketplace kwa ajili ya bidhaa za wajasiriamali – Hii ni platform ambayo wajasiriamali wanapata fursa ya kutangaza bidhaa zao. Ni bidhaa halisi kabisa za wajasiriamali wa Kitanzania

  • Online Printing – Hii idea aisee hata mimi mwenyewe nimeipenda. Hii ni platform ambayo wenye huduma za kuchapisha mabango, documents, banners, images wanajisajiri kulingana na location zao. Hii itaokoa mda wa kusubiria kazi yako iwe printed, maana utakachotakiwa kufanya ni ku search service providers kulingana nae neo, kisha utaona bei zao, ukiridhika utawatumia kazi, waki print tu, utapata notification, ukifaka kwenye stationery uta provide OTC ili kuweza kupata kazi yako. No More Queues, No More Time Wastage!

  • Online POS and Stcok Management – Huu ni mfumo wa online wa utunzaji wa mahesabu ya biashara na kumbukumbu. Hapa mwenye duka, au mtoa huduma atakuwa na uwezo wa ku track mauzo, stocks, sales return, credit customer, na kila kitu kihusucho biashara, lakini pia atakuwa na uwezo wa ku generate reports mbalimbali, mfano profit and loss kwa period Fulani, cash flows na kadhalika. Kuongeza wafanyakazi wa duka pia!

  • Expense Management and tracking – huu ni mfumo wa kufuatalia matumizi yako binafsi on daily basis

  • Car Parking solution – Huu ni mfumo ambao kimsingi unatumiwa na Parking Solution. Kazi yao kubwa ni ku feed parking slots za maeneo mbalimbali ya Dar au Mkoa husika. Mwenye gari yeye kabla ya kuanza safari kuelekea eneo husika, basi ataangalia sehem aendayo kama kuna empty parking slot, ataweka booking akionesha muda atakao wasili, booking ikiwekwa yule parking attendant wa eneo husika atapata notification via email, na muda ukifika ile parking husika itaji mark kuwa occupied, ila kama muhusika atatokea ndani ya daki 10, basi parking automatically itaji mark kuwa available.

  • E Learning System – Huu ni mfumo wa Online Learning ambao ni maalumu wa kutumiwa na learning institutions. Huu mfumo utamuwezesha tutor/instructor ku upload notes kwenye mfumo wa document au pdf, reference link kwa course husika. Lakini pia utamuwezesha ku post matangazo kwa course husika. Mwanafunzi atachagua course husika na masomo husika ambayo ame opt ili kuweza kupata notes na kuona matangazo mbalimbali. Pia mfumo huu unaruhusu CR’s Ku post matangazo kwa watu wa course zao husika

Hii ndio orodha ya mifumo ambao nimeweza kuiunda. Nakaribisha maoni, maswali na namna ambavyo unadhani natakiwa kufanya ili mifumo iwafikie walengwa!
 
Tangaza radioni na magazetini kama hivi kuweka awarness.
Habari wana board!

Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!



Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT (Information Technology) hivyo kwa bidi sana nikaanza kujifunza mambo ya “Coding”.

Kwa kweli ilikuwa safari ngumu sana na ndefu, yaani ukiacha kujifunza siku moja tu, unajikuta umesahau kila kitu, Mungu mkubwa, nilitia nia na bidi haswa!

Project yangu ya kwanza kabisa ilikuwa ni kuunda tovuti ambayo itawawezesha wenye guest house, lodges na huduma zote za malazi kuweza kutangaza huduma zao, fursa hii niliipata hapa hapa JF baada ya kuona wapo watu ambao wamekuwa wakiulizia sehem nzuri za kufikia kwenye maeneo mbalimbali waliyokuwa wakienda.

Hii project haikufanya vyema sana, ingawaje idea yake ilikuwa po asana, lakini nilikosa sponsor maana by that time nilikuwa nipo nipo tuu mtaani.

Leo nimefanikiwa kuwa na 5 Online Projects ambazo natamani sana wewe msomaji uzipitie na utie neno. Nashindwa kuweka link kwa ajili ya sharia ngumu za JF, ila kama utahitaji maelezo Zaidi ntatoa..

  • Marketplace kwa ajili ya bidhaa za wajasiriamali – Hii ni platform ambayo wajasiriamali wanapata fursa ya kutangaza bidhaa zao. Ni bidhaa halisi kabisa za wajasiriamali wa Kitanzania

  • Online Printing – Hii idea aisee hata mimi mwenyewe nimeipenda. Hii ni platform ambayo wenye huduma za kuchapisha mabango, documents, banners, images wanajisajiri kulingana na location zao. Hii itaokoa mda wa kusubiria kazi yako iwe printed, maana utakachotakiwa kufanya ni ku search service providers kulingana nae neo, kisha utaona bei zao, ukiridhika utawatumia kazi, waki print tu, utapata notification, ukifaka kwenye stationery uta provide OTC ili kuweza kupata kazi yako. No More Queues, No More Time Wastage!

  • Online POS and Stcok Management – Huu ni mfumo wa online wa utunzaji wa mahesabu ya biashara na kumbukumbu. Hapa mwenye duka, au mtoa huduma atakuwa na uwezo wa ku track mauzo, stocks, sales return, credit customer, na kila kitu kihusucho biashara, lakini pia atakuwa na uwezo wa ku generate reports mbalimbali, mfano profit and loss kwa period Fulani, cash flows na kadhalika. Kuongeza wafanyakazi wa duka pia!

  • Expense Management and tracking – huu ni mfumo wa kufuatalia matumizi yako binafsi on daily basis

  • Car Parking solution – Huu ni mfumo ambao kimsingi unatumiwa na Parking Solution. Kazi yao kubwa ni ku feed parking slots za maeneo mbalimbali ya Dar au Mkoa husika. Mwenye gari yeye kabla ya kuanza safari kuelekea eneo husika, basi ataangalia sehem aendayo kama kuna empty parking slot, ataweka booking akionesha muda atakao wasili, booking ikiwekwa yule parking attendant wa eneo husika atapata notification via email, na muda ukifika ile parking husika itaji mark kuwa occupied, ila kama muhusika atatokea ndani ya daki 10, basi parking automatically itaji mark kuwa available.

  • E Learning System – Huu ni mfumo wa Online Learning ambao ni maalumu wa kutumiwa na learning institutions. Huu mfumo utamuwezesha tutor/instructor ku upload notes kwenye mfumo wa document au pdf, reference link kwa course husika. Lakini pia utamuwezesha ku post matangazo kwa course husika. Mwanafunzi atachagua course husika na masomo husika ambayo ame opt ili kuweza kupata notes na kuona matangazo mbalimbali. Pia mfumo huu unaruhusu CR’s Ku post matangazo kwa watu wa course zao husika

Hii ndio orodha ya mifumo ambao nimeweza kuiunda. Nakaribisha maoni, maswali na namna ambavyo unadhani natakiwa kufanya ili mifumo iwafikie walengwa!
 
Unaweza elezea zaidi huu mfumo wa E Learning ??
Karibu Mkuu!
Hii huduma ina features hizi:

Admin, ambaye anaweza kuwa add school teachers or tutors na kuwa assign masomo husika

Pia admin, ana capability ya ku add program na masomo/course zake husika.

Tutor, anakuwa na uwezo wa ku add lessons pamoja na reference links. Lakini pia tutor ana uwezo wa ku post tangazo, na tangazo hilo litaonwa na wanafunzi wa program/course husika tuu

Student, huyu amepewa uwezo wa kuchagua program pamoja na masomo anayechukua kulingana na program husika. Pia atakuwa na uwezo wa kuona matangazo na lessons za course zake tuu

CR/Monitors, hapa admin ana uwezo wa kum assign CR/Monitor huwezo wa ku post tangazo, na litaonwa na wanafunzi anaowasimamia tu

Ki ujumla, mfumo huu ni mzuri sana, mfano kama kipindi kimeahirishwa, mwanafunzo anakuwa na uwezo wa kuona tangazo bila ya kwenda chuo au kupitia mbao za matangazo

Lakini pia, inasaidia kuipeleka elimu kwenye uwanda wa ki digital zaidi.

Karibu sana!!

Student, ambaye anaweza ku
 
Karibu Mkuu!
Hii huduma ina features hizi:

Admin, ambaye anaweza kuwa add school teachers or tutors na kuwa assign masomo husika

Pia admin, ana capability ya ku add program na masomo/course zake husika.

Tutor, anakuwa na uwezo wa ku add lessons pamoja na reference links. Lakini pia tutor ana uwezo wa ku post tangazo, na tangazo hilo litaonwa na wanafunzi wa program/course husika tuu

Student, huyu amepewa uwezo wa kuchagua program pamoja na masomo anayechukua kulingana na program husika. Pia atakuwa na uwezo wa kuona matangazo na lessons za course zake tuu

CR/Monitors, hapa admin ana uwezo wa kum assign CR/Monitor huwezo wa ku post tangazo, na litaonwa na wanafunzi anaowasimamia tu

Ki ujumla, mfumo huu ni mzuri sana, mfano kama kipindi kimeahirishwa, mwanafunzo anakuwa na uwezo wa kuona tangazo bila ya kwenda chuo au kupitia mbao za matangazo

Lakini pia, inasaidia kuipeleka elimu kwenye uwanda wa ki digital zaidi.

Karibu sana!!

Student, ambaye anaweza ku
Mimi Kama Admin nafaidikaje tuyajenge.Kama haotujali nitumie contact pm tuyajenge.
 
Mwaka 2014 nilijitahidi kufungua page fb ya kusaidia watu wanaotafuta kazi na kampuni zinazotafuta wafanyakazi pamoja na watu wanaitaji wafanyakazi ,hadi Sasa watu elfu 14 ndio wamelike page,changamoto nazokutana nazo ni ukosefu wa matangazo ya kazi japo najitahidi hivyo hivyo kupost Kadri niyapatavyo.kupitia uzi huu wadau wenye kujua nafasi za kazi mnaweza kunijuza msikiapo nafasi Mpya za kazi maana watz wengi ni rahisi kufika fb
 
Mimi Kama Admin nafaidikaje tuyajenge.Kama haotujali nitumie contact pm tuyajenge.
Karibu mkuu!

Kuna options mbili hapa za u admin

1. Kuwa general system admin, hapa utakuwa na uwezo wa ku admin the whole system kwa mfumo wa resell.

2. School admin, hapa institute husika itachagua admin ambaye atakuwa responsible kwenye ku add tutors na kusimamia mfumo mzima kwa ngazi ya shule
 
Mwaka 2014 nilijitahidi kufungua page fb ya kusaidia watu wanaotafuta kazi na kampuni zinazotafuta wafanyakazi pamoja na watu wanaitaji wafanyakazi ,hadi Sasa watu elfu 14 ndio wamelike page,changamoto nazokutana nazo ni ukosefu wa matangazo ya kazi japo najitahidi hivyo hivyo kupost Kadri niyapatavyo.kupitia uzi huu wadau wenye kujua nafasi za kazi mnaweza kunijuza msikiapo nafasi Mpya za kazi maana watz wengi ni rahisi kufika fb
achana na kitu kisichokuingiizia pesa.
 
Karibu Mkuu!
Hii huduma ina features hizi:

Admin, ambaye anaweza kuwa add school teachers or tutors na kuwa assign masomo husika

Pia admin, ana capability ya ku add program na masomo/course zake husika.

Tutor, anakuwa na uwezo wa ku add lessons pamoja na reference links. Lakini pia tutor ana uwezo wa ku post tangazo, na tangazo hilo litaonwa na wanafunzi wa program/course husika tuu

Student, huyu amepewa uwezo wa kuchagua program pamoja na masomo anayechukua kulingana na program husika. Pia atakuwa na uwezo wa kuona matangazo na lessons za course zake tuu

CR/Monitors, hapa admin ana uwezo wa kum assign CR/Monitor huwezo wa ku post tangazo, na litaonwa na wanafunzi anaowasimamia tu

Ki ujumla, mfumo huu ni mzuri sana, mfano kama kipindi kimeahirishwa, mwanafunzo anakuwa na uwezo wa kuona tangazo bila ya kwenda chuo au kupitia mbao za matangazo

Lakini pia, inasaidia kuipeleka elimu kwenye uwanda wa ki digital zaidi.

Karibu sana!!

Student, ambaye anaweza ku
Habari, Hongera sana Mkuu, nimevutiwa zaidi na huu mfumo wa online printing, twaeza fanya kitu hapa kwa upande wa Vyuo karibu PM
Wasifu
University tutor
Programmer
 
Habari, Hongera sana Mkuu, nimevutiwa zaidi na huu mfumo wa online printing, twaeza fanya kitu hapa kwa upande wa Vyuo karibu PM
Wasifu
University tutor
Programmer
Nakucheki mkuu!

Huu mfumo ni mzuri sana! Tena hasa kwa upande wa vyuo. Pia utakuwa uwezo wa kuona stationeties zilizo online na offline.
 
Kwa Tanzania, mambo ya Online ya hizo ulizotaja achana nayo utapoteza muda wako bure, labda 20 or 50 yrs to come. Sijui unanielewa
 
Kwa Tanzania, mambo ya Online ya hizo ulizotaja achana nayo utapoteza muda wako bure, labda 20 or 50 yrs to come. Sijui unanielewa
Mkuu.. muda sahihi wa kuanza kuibadili Jamii na kutambua umuhim wa kuendana na technology ni sasa! Achana na habari na kesho!
 
Habari wana board!

Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!



Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT (Information Technology) hivyo kwa bidi sana nikaanza kujifunza mambo ya “Coding”.

Kwa kweli ilikuwa safari ngumu sana na ndefu, yaani ukiacha kujifunza siku moja tu, unajikuta umesahau kila kitu, Mungu mkubwa, nilitia nia na bidi haswa!

Project yangu ya kwanza kabisa ilikuwa ni kuunda tovuti ambayo itawawezesha wenye guest house, lodges na huduma zote za malazi kuweza kutangaza huduma zao, fursa hii niliipata hapa hapa JF baada ya kuona wapo watu ambao wamekuwa wakiulizia sehem nzuri za kufikia kwenye maeneo mbalimbali waliyokuwa wakienda.

Hii project haikufanya vyema sana, ingawaje idea yake ilikuwa po asana, lakini nilikosa sponsor maana by that time nilikuwa nipo nipo tuu mtaani.

Leo nimefanikiwa kuwa na 5 Online Projects ambazo natamani sana wewe msomaji uzipitie na utie neno. Nashindwa kuweka link kwa ajili ya sharia ngumu za JF, ila kama utahitaji maelezo Zaidi ntatoa..

  • Marketplace kwa ajili ya bidhaa za wajasiriamali – Hii ni platform ambayo wajasiriamali wanapata fursa ya kutangaza bidhaa zao. Ni bidhaa halisi kabisa za wajasiriamali wa Kitanzania

  • Online Printing – Hii idea aisee hata mimi mwenyewe nimeipenda. Hii ni platform ambayo wenye huduma za kuchapisha mabango, documents, banners, images wanajisajiri kulingana na location zao. Hii itaokoa mda wa kusubiria kazi yako iwe printed, maana utakachotakiwa kufanya ni ku search service providers kulingana nae neo, kisha utaona bei zao, ukiridhika utawatumia kazi, waki print tu, utapata notification, ukifaka kwenye stationery uta provide OTC ili kuweza kupata kazi yako. No More Queues, No More Time Wastage!

  • Online POS and Stcok Management – Huu ni mfumo wa online wa utunzaji wa mahesabu ya biashara na kumbukumbu. Hapa mwenye duka, au mtoa huduma atakuwa na uwezo wa ku track mauzo, stocks, sales return, credit customer, na kila kitu kihusucho biashara, lakini pia atakuwa na uwezo wa ku generate reports mbalimbali, mfano profit and loss kwa period Fulani, cash flows na kadhalika. Kuongeza wafanyakazi wa duka pia!

  • Expense Management and tracking – huu ni mfumo wa kufuatalia matumizi yako binafsi on daily basis

  • Car Parking solution – Huu ni mfumo ambao kimsingi unatumiwa na Parking Solution. Kazi yao kubwa ni ku feed parking slots za maeneo mbalimbali ya Dar au Mkoa husika. Mwenye gari yeye kabla ya kuanza safari kuelekea eneo husika, basi ataangalia sehem aendayo kama kuna empty parking slot, ataweka booking akionesha muda atakao wasili, booking ikiwekwa yule parking attendant wa eneo husika atapata notification via email, na muda ukifika ile parking husika itaji mark kuwa occupied, ila kama muhusika atatokea ndani ya daki 10, basi parking automatically itaji mark kuwa available.

  • E Learning System – Huu ni mfumo wa Online Learning ambao ni maalumu wa kutumiwa na learning institutions. Huu mfumo utamuwezesha tutor/instructor ku upload notes kwenye mfumo wa document au pdf, reference link kwa course husika. Lakini pia utamuwezesha ku post matangazo kwa course husika. Mwanafunzi atachagua course husika na masomo husika ambayo ame opt ili kuweza kupata notes na kuona matangazo mbalimbali. Pia mfumo huu unaruhusu CR’s Ku post matangazo kwa watu wa course zao husika

Hii ndio orodha ya mifumo ambao nimeweza kuiunda. Nakaribisha maoni, maswali na namna ambavyo unadhani natakiwa kufanya ili mifumo iwafikie walengwa!
Kaudunde Kautwangwe:

Hongera sana mkuu... " Do one thing and Do it well "

Hizo projects zote ulizonanzo sijajua zote zinafanyaje kazi mkuu na au unauza mkuu?

Mawazo ni mazuri lakini ni vema tukajua umebobea kwenye kipi hasa ili kuhamasisha vijana wanaotaka kuwa mbunifu kama wewe..

Kujua ni process zipi umefanikiwa kwa namna gani ni changamoto nyingine ya wabunifu wa Tanzania na Afrika imekuwa ni faragha sana kutokuona funguo macho kifursa kwa watu wengine kama siyo kupishana baraka za kutajirika.

Binafsi na mimi nipo kwenye #process yakuwa na mojawapo ya hizo platforms kama vigezo na sheria za Jamiiforums nitakuwa natoa hints siku za usoni..

Tuhamasishe tuwe wengi.
 
Kabla sijasoma comment nyingi naona zitanivuruga.. naomba nikwambie weka nguvu kwa hii parking sloat utapata pesa .. na mutu aki apply alipe kabisa through e- money system... Asipofika after those ten minutes iende kwa mwingne.. if necessary alipe whole day.. [emoji1666]
 
Kabla sijasoma comment nyingi naona zitanivuruga.. naomba nikwambie weka nguvu kwa hii parking sloat utapata pesa .. na mutu aki apply alipe kabisa through e- money system... Asipofika after those ten minutes iende kwa mwingne.. if necessary alipe whole day.. [emoji1666]
Ahsante mkuu kwa ushauri!

Hii system inahitaji iwe chini ya parking solution ya eneo husika, nilijaribu kumtumia email mkurugenzi wa TARURA, ila naona hakuna mrejesho.

Ngoja niongeze bidii haswa!!
 
Kaudunde Kautwangwe:

Hongera sana mkuu... " Do one thing and Do it well "

Hizo projects zote ulizonanzo sijajua zote zinafanyaje kazi mkuu na au unauza mkuu?

Mawazo ni mazuri lakini ni vema tukajua umebobea kwenye kipi hasa ili kuhamasisha vijana wanaotaka kuwa mbunifu kama wewe..

Kujua ni process zipi umefanikiwa kwa namna gani ni changamoto nyingine ya wabunifu wa Tanzania na Afrika imekuwa ni faragha sana kutokuona funguo macho kifursa kwa watu wengine kama siyo kupishana baraka za kutajirika.

Binafsi na mimi nipo kwenye #process yakuwa na mojawapo ya hizo platforms kama vigezo na sheria za Jamiiforums nitakuwa natoa hints siku za usoni..

Tuhamasishe tuwe wengi.
Ntaweka maelezo ya kujitoshereza mkuu!!
 
Back
Top Bottom