Futari ni nini? Kwanini watu wengi wanafuturisha Wasiofunga Ramadhan?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Naomba kujua siri ya Jambo hili , Katika watu wasiofunga wanaoshiriki kila futari zinazoandaliwa ni STEVE NYERERE

Sasa swali langu ni hili, kwanini wanafuturu hizi futari ilizoandaliwa na kurekodiwa si wale wanaihitaji ? Je kuna siri yoyote ya Utajiri au miujiza ?
 
uchoyo ni kitu ngumu na mbaya sana. Inaumiza wachoyo wengi pale wale walio wema wanapoamua kutoa kwa wengine 🐒
 
Kimekuwa chakula cha kutafutia umaarufu na uchawa
 
Turudi kwa wadhamini wetu


Your browser is not able to display this video.
 
Wanafuturishwa mafisadi wasio funga na wasanii wenye majina. Walio na uhitaji wa hiyo futari huku Temeke wanafuturi kwa vipande vya mihogo, magimbi na uji wa sembe.
 
Futari = kifunguwa kinywa kwa waliofunga.

Ambao hawajafunga wanakula hawafuturu.
 
Huyo anadowea tu popote yupo,iwe misiba,iwe eid iwe pasaka iwe futari ye yumo tu.
 
Wengine wanatafuta kulishana unga unga hatari sana na urafiki wa kinafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…