Future Wife

Future Wife

*"Father Lord, If My Future Wife Is In This Forum Please Direct Her To My pm Now"*
[emoji18][emoji120]
*Amen*
Hahaha mkuu ubavu wako nimeshaunywea supu , ulikuwa mtam balaa
 
Ninyi wanawake mnakosea sana, kwani kujipeleka utongozwe kuna shida gani? Wanawake wengi mnakosea hapo ndo maana unakuta mwanamke ana miaka 30 halafu hana mchumba!!......Kuokoa muda ni vyema ukajipeleka ili utongozwe, unaweza ukahamua kujitongozesha pia au unamtongoza mtu moja kwkuokoa muda nadoa urasimu!
Haahaaaaaaa
Naona unatafuta point ua kuingilia..
 
Ninyi wanawake mnakosea sana, kwani kujipeleka utongozwe kuna shida gani? Wanawake wengi mnakosea hapo ndo maana unakuta mwanamke ana miaka 30 halafu hana mchumba!!......Kuokoa muda ni vyema ukajipeleka ili utongozwe, unaweza ukahamua kujitongozesha pia au unamtongoza mtu moja kwa moja ili kuokoa muda na kuondoa urasimu!
Mwambie Ebitoke anatongoza na ni msichana, hata leo nimeona clip akiendelea kumtongoza Ben-pol..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom