TANZIA FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85

TANZIA FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
2996431_20211111_150548.jpg


FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

Bw de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulinagana na msemaji. Bw de Klerk alikuwa mkuu wa nchi kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.

Mwaka 1990 alitangaza kumwachilia huru kiongozi aliyepinga ubaguzi wa rangi Nelson Mandela, na kusababisha kura za vyama vingi mwaka 1994.

Taarifa kutoka kwa wakfu wa rais huyo wa zamani FW de Klerk siku ya Alhamisi asubuhi ilisoma: "Rais wa zamani FW de Klerk alifariki kwa amani nyumbani kwake Fresnaye (Cape Town) mapema leo asubuhi kufuatia mapambano yake dhidi ya saratani ya mesothelioma."

Taasisi hiyo ilikuwa imetangaza utambuzi huo - saratani inayoathiri utando wa mapafu - mwezi Juni mwaka huu.

FW de Klerk alikuwa amechukua nafasi ya PW Botha kama mkuu wa Chama cha National Party mnamo Februari 1989 na mwaka uliofuata akatangaza kuwa anaondoa marufuku ya vyama vilivyojumuisha chama cha Mandela cha African National Congress (ANC).

Vitendo vyake vilisaidia kukomesha enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini, na akawa mmoja wa manaibu marais wawili baada ya uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1994 ambao ulishuhudia Bw Mandela akiwa rais.

Yeye na Mandela walishinda kwa pamoja Tuzo ya Amani ya Nobel mnamo 1993.

Hata hivyo, jukumu lake katika kipindi cha mpito kuelekea demokrasia lilipingwa sana. Mwaka jana, alijiingiza katika mzozo uliofanya ashtumiwe kwa kudharau uzito wa ubaguzi wa rangi. Baadaye aliomba radhi kwa "kubisha" juu ya suala hilo.

BBC Swahili
 
Hivi chief mangothutu buthelezi, kiongozi wa inkhata freedom part huko kwazulu natal yuko hai huyo mzee? Hasikiki
 
FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

Bw de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulinagana na msemaji.

Bw de Klerk alikuwa mkuu wa nchi kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.


Mwaka 1990 alitangaza kumwachilia huru kiongozi aliyepinga ubaguzi wa rangi Nelson Mandela, na kusababisha kura za vyama vingi mwaka 1994.

Taarifa kutoka kwa wakfu wa rais huyo wa zamani FW de Klerk siku ya Alhamisi asubuhi ilisoma: "Rais wa zamani FW de Klerk alifariki kwa amani nyumbani kwake Fresnaye (Cape Town) mapema leo asubuhi kufuatia mapambano yake dhidi ya saratani ya mesothelioma."

Taasisi hiyo ilikuwa imetangaza utambuzi huo - saratani inayoathiri utando wa mapafu - mwezi Juni mwaka huu.

FW de Klerk alikuwa amechukua nafasi ya PW Botha kama mkuu wa Chama cha National Party mnamo Februari 1989 na mwaka uliofuata akatangaza kuwa anaondoa marufuku ya vyama vilivyojumuisha chama cha Mandela cha African National Congress (ANC).

Vitendo vyake vilisaidia kukomesha enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini, na akawa mmoja wa manaibu marais wawili baada ya uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1994 ambao ulishuhudia Bw Mandela akiwa rais.

Yeye na Mandela walishinda kwa pamoja Tuzo ya Amani ya Nobel mnamo 1993.

Kwa wanaojua kimombo:

South Africa’s last white president, F.W. de Klerk, who ushered in the end of the country’s system of white minority rule known as apartheid, died Thursday at his home near Cape Town. He was 85.



In a statement, the F.W. de Klerk Foundation announced his death from mesothelioma, a form of cancer that affects the lungs.



De Klerk stunned the world in February of 1990, five months into his presidency, and less than three months after the collapse of the Berlin Wall, when he opened the way for an end to more than four decades of apartheid. Delivering a bombshell speech to parliament, he "unbanned" the African National Congress (ANC) and announced the release of its leader, Nelson Mandela after 27 years behind bars.



Nine days later, Mandela walked free, and four years later, in the first multi-race elections, Mandela was elected the country’s first black president. Mandela and de Klerk shared the 1993 Nobel Prize for their cooperation.
 

Muda Muafaka kwa awamu ya 6 kujijengea legacy yake, ijifunze kutoka South Africa ya kipindi cha ubaguzi wa rangi


Frederick Willem de Klerk​

The Order of Mapungubwe in Gold

Frederick%20Willem%20de%20Klerk.jpg

Frederick Willem de Klerk Awarded for:

Exceptional and unparalleled contribution to peace, national reconciliation and nation-building in the republic of South Africa.
Profile of Frederick Willem de Klerk.

Frederik Willem de Klerk goes into the annals of history as the President of the last white minority government who was bold enough to lead white South Africa out of an unsustainable and untenable apartheid system towards a non-racial, non-sexist, prosperous and democratic South Africa.

During his reign, Mr De Klerk went about dismantling many of the provisions of apartheid and setting the stage for the first democratic general election in 1994.

In February 1990, he lifted a 30-year ban on the ANC and other liberation movements and released Nelson Mandela after 27 years in prison. De Klerk and Mandela worked together for political transformation that ended the nation’s era of white minority rule and in 1993, he and Mandela agreed on a timetable for a transition to a non-racial democratic state.

Nelson Mandela called Mr De Klerk ‘a man of integrity’. Through the F W De Klerk Foundation he currently focuses his attention on peace, national reconciliation and nation-building in the Republic of South Africa.

De Klerk together with Mandela were joint recipients of the Nobel Peace Prize in December 1993

Source : Frederick Willem de Klerk | The Presidency

The Nobel Peace Prize 1993

F.W. de Klerk​

1636649285568.png


Photo from the Nobel Foundation archive.
Frederik Willem de Klerk
The Nobel Peace Prize 1993
Born: 18 March 1936, Johannesburg, South Africa
Died: 11 November 2021, Cape Town, South Africa
Residence at the time of the award: South Africa
Prize motivation: "for their work for the peaceful termination of the apartheid regime, and for laying the foundations for a new democratic South Africa."
Prize share: 1/2

From Apartheid to Majority Rule​


In 1990 South Africa's President Frederik Willem de Klerk decided to release Nelson Mandela, leader of the liberation movement, who had been in prison since 1963. Following the release, the two politicians worked together to bring an end to the policy of racial segregation. It was for his participation in this peace process that de Klerk was awarded the Peace Prize in 1993.

When de Klerk took office as President in 1989, no one expected him to play a key part in the termination of apartheid. Both as a lawyer, as a parliamentarian, and as a member of the government he had stood out as a firm upholder of white privilege. But when he realized that the apartheid system was leading to both economic and political bankruptcy, he put himself at the head of a radical change of course.

He continued the negotiations with Mandela and the ANC liberation movement, which had begun in secret. They agreed to prepare for a presidential election and to draw up a new constitution with equal voting rights for every population group in the country. Source : The Nobel Peace Prize 1993

Copyright © The Norwegian Nobel Institute

FW de Klerk - 'The new South Africa after twenty years'



F.W. DE KLERK: Frederik Willem de Klerk (born 18 March 1936), was the seventh and last State President of apartheid-era South Africa, serving from September 1989 to May 1994. De Klerk was also leader of the National Party (which later became the New National Party) from February 1989 to September 1997.

De Klerk brokered the end of apartheid, South Africa's racial segregation policy, and supported the transformation of South Africa into a multi-racial democracy by entering into the negotiations that resulted in all citizens, including the country's black majority, having equal voting and other rights. He won the Félix Houphouët-Boigny Peace Prize in 1991, the Prince of Asturias Award in 1992 and the Nobel Peace Prize in 1993 along with Nelson Mandela for his role in the ending of apartheid.

He was one of the deputy presidents of South Africa during the presidency of Nelson Mandela until 1996, the last white person to hold the position to date. In 1997 he retired from active politics. As of 2011 he remains active as a lecturer internationally. ABOUT THE OXFORD UNION SOCIETY: The Union is the world's most prestigious debating society, with an unparalleled reputation for bringing international guests and speakers to Oxford. It has been established for 189 years, aiming to promote debate and discussion not just in Oxford University, but across the globe.

Source: OxfordUnion
 
Tunamwitaji De Clerk mwingine pale CCM...

Ingawaje zama za ubeberu zilikuwa ukingoni lakini De Clerk angeamua kama wenzake, nae angeweza kuendelea kuendeleza utawala dhalimu wa Kikaburu pale South Africa!!

Hata kama Nelson Mandela hatimae angetoka gerezani, bado ingewezekana kuendelea kuwa korokoroni kipindi chote cha De Clerk!!!

Ingewezekana hadi kesho yale yanayoendelea Palestine na Israel, kuwa yanaendelea hadi kesho pale South Africa!!

Hata hivyo, Fredrick De Clerk akasema NO... zama za tawala za kibeberu na kidhalimu zimeshapitwa na wakati, so "let's end this"!

"Of course", I believe that's how De Clerk started to tell his team "...we still have the backup of our fellow Imperialists from UK, US, Israel, and elsewhere! We still have enough number of our black puppets everywhere in the continent, including in this our holly land! We can still keep slaughtering these black monkeys whatever we want, but for how long!"

So, tunahitaji De Clerk mwingine pale CCM!! Fredrick de Clerk ambae hataanza kuonesha dalili za kuwa rebellious mapema!

Tunahitaji mwana-CCM atakayeficha kucha zake kama ambavyo alifanya De Clerk, kwa sababu lau kama Fredrick de Clerk angeonesha mapema nia ya kurudisha utawala wa walio wengi, KATU asingepewa hata nafasi ya "Mkuu wa Wilaya"!

Tunahitaji mwana-CCM anayejionesha yupo tayari kufa kwa ajili ya CCM, na mara anapopata nafasi ya kuongoza nchi basi atumie fursa hiyo kuiporomosha CCM na kuirudisha nchi kwa wananchi ambao wameshachoshwa na CCM... dubwasha lililojishindilia kila mahali, na lililo tayari kunyonya damu ya kila mtu kuhakikisha linababaki madarakani hata kama litabaki kutawala mbuzi na kondoo!!

Hivi ndivyo Fredrick de Clerk alifanya kule South Africa kiasi kwamba hata wakati anachaguliwa rasmi kuwa rais, no one expected him to be different kwa sababu hata wakati akihudumu kama waziri, alionesha wazi ku-support ubaguzi wa rangi!!

Watu wakaja kushituka, pale Blacks walipotaka kuandamana na polisi kutaka kuwazuia, Fredrick de Clerk akawaambia "HAPANA... waacheni waandamane, mlango wa Afrika Kusini mpya umefunguka!!

Huo ni ushahidi tosha kwamba hata wakati de Clerk anaonesha ku-support ubaguzi wa rangi, huenda alifanya hivyo ili aendelee kuaminika na chama chake cha National Party, wakati kumbe moyoni hakuwa nao pamoja!

Rest In Peace Frederik Willem de Klerk

Kwangu, huna baya!

Na yale ambayo ulifanya zama za Ubaguzi wa Rangi, sina shaka Mungu wako atakuwa amekusamehe kwa sababu you'd to be one of them to in order complete your holly mission of the new South Africa!
 
Back
Top Bottom