FYI: Maalim Seif havai viatu ofisini.....

Lakini kama hujui, baadhi ya ofisi kule zanzibar mlangoni kwao unakuta kuna tangazo ''tafadhali vua viatu'' na hata ukiingia utamkuta mkurugenzi yuko peku. Nakumbuka pale TTCL zanzibar kuna ofisi ya kawaida tu lakini huingii na viatu. Naona labda ni mazoea ya msikitini, pia house zao ukifika mlangoni lazima utake off ur shoes. mi sishangai kwa zanzibar
 
na fungus mmezifikiria kuwa moja ya uwezekano wa sababu ya kuviacha vidole vipumue?
 
Nahis yupo sawa kabisa angekua anatembea peku hapo ingekua neno si jambo la kushangaza na kukaa kulijadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…