G Nako awapongeza WCB Wasafi kwa movement zao

Diamond hela anaipata sana kwa show za nje... so haoni hatari kuwapa mashabiki wake wa uswazi show za bure... je wasanii wengine ambao hawana hata show za nje wanapata wapi mtaji wa kufanya show bure?

hapo ushindani unakuwa mgumu sana kwao
 
USHINDANI na ROHO MBAYA......
G.Nako amekazia pale aliposema Ben Pol,Quick Racker,Pro Jay,Dully Sykes na wengineo.Palipo na mazur pasifiwe na sio kuendekeza chuki.Pia lazima kukubali kuzidiwa ili msanii ujifunze vema
 
Kiukweli music ya bongo mazee imekua na inakua.

Industry ipo top now washikilie hapo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…