G20 India, Putin aufyata tena!

G20 India, Putin aufyata tena!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

Screenshot_20230807-080822.jpg


Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

IMG_20211016_132442_593.jpg


Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
 
Sasa mbona hata Xi Jinping wa China naye kaupotezea huo mkutano, lakini husemi chochote!!

Mpango mkakati kumfichia aibu mshirika ki Buza buza, huo ndugu.

"Jiulize, kulikoni kwenda BRICS lakini si G20 ambako hata AU kashirikishwa tena kwa mara ya kwanza?"

Hilo huwezi wafumbia waliosoma Cuba.

Amini nakwambia, Putin angekuwa atahudhuria, hata Xi naye ange timba India.
 
Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

View attachment 2743835

Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

View attachment 2743833

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
Mwisho wa madikiteta umeshafika.

Akianza kuufyata Putin mbuzi wengine watafanyaje?
 
Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

View attachment 2743835

Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

View attachment 2743833

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
Mtamtega sana kwa pumba,hiyo ni mashine konki,kama mnambavu ingieni Moscow mumtoe madarakani.


Hata huyo Biden hawezi kwenda Afghanistan kifalafala
 
Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

View attachment 2743835

Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

View attachment 2743833

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
Big ups to ma homie Putin ✔️ Anaejiona mmbabe wa dunia akamkamate pale Kremlin!!
 
Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

View attachment 2743835

Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

View attachment 2743833

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
Hata Kremlin hayupo! Amejichimbia kwenye bunker kuogopa drones za Zele!
Akitokeza kichwa tu kimeshaliwa

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Mtamtega sana kwa pumba,hiyo ni mashine konki,kama mnambavu ingieni Moscow mumtoe madarakani.


Hata huyo Biden hawezi kwenda Afghanistan kifalafala

Kumbe na bounty yake kichwani katambua kuvinjari nje ya shimo lake ni ufala siyo?

Kama ndivyo hiyo si hatua mbaya. Na akae humo humo kama vipi milele!
 
Putin anaondoa mgogoro wa Kidiplomasia na nchi washirika wake ni Akili tu , lakini sio kwamba anashindwa kwenda kokote

Ya nini kuandikia mate si aende hata Kiev tu? Si karibu pale?
 
Jitahidi kuwa na heshima,yaani raisi Putin unamtolea mfano wa huyo panya?
 
Back
Top Bottom