G20 India, Putin aufyata tena!

G20 India, Putin aufyata tena!

Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:

View attachment 2743835

Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.

"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"

Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.

Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:

View attachment 2743833

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Aligusa pabaya.

Chezea vingine siyo ICC.
Supa-pawa (Urusi) amepatwa na nini tena ?
 
Putin anaondoa mgogoro wa Kidiplomasia na nchi washirika wake ni Akili tu , lakini sio kwamba anashindwa kwenda kokote
Hii ni sababu ya pili, sababu ya kwanza ni kuhofia utawala wake akiondoka hapo nchini kwake maana mambo yanaenda kasi. Hilo la kuogopa ICC halipo, ICC hawana jeshi kwamba watamkamata na vilevile India haiwezi mshikilia Putin.

Unasema kwenda India wakati kwa sasa yeye kwenda miji ya mbali nchini kwake kama Vladivostok au Yakutia haendi.
 
Mkuu kwann wasifanye kama ilivyokua kwa Gaddafi au Saddam Hussein? Wavamie tu 🤣🤣🤣!!

Mkuu madikteta wauwaji wote hawashughulikiwi kwa namna moja.

Kumbuka walikuwapo Sudan kama yeye na RB zao ICC bado hawakuvamiwa.

Kama yeye ni kidume, kwanini asijiri kwenye mikutano Hii muhimu duniani na kwa raha zake? Hata BRICS tu ni kama ulivyoona kaufyata 🤣🤣🤣!!
 
Mkuu madikteta wauwaji wote hawashughulikiwi kwa namna moja.

Kumbuka walikuwapo Sudan kama yeye na RB zao ICC bado hawakuvamiwa.

Kama yeye ni kidume, kwanini asijiri kwenye mikutano Hii muhimu duniani na kwa raha zake? Hata BRICS tu ni kama ulivyoona kaufyata 🤣🤣🤣!!
Mzee ni kwamba Putin hatak kuliamsha dunia nzima!! Kaa ukijua ana backup kwa ma homie Kim na Shi Jinpin!! Yaan wakuda wote maadui wa western na wenye weapons of mass destruction wapo na ma homie Putin
 
Hii ni sababu ya pili, sababu ya kwanza ni kuhofia utawala wake akiondoka hapo nchini kwake maana mambo yanaenda kasi. Hilo la kuogopa ICC halipo, ICC hawana jeshi kwamba watamkamata na vilevile India haiwezi mshikilia Putin.

Unasema kwenda India wakati kwa sasa yeye kwenda miji ya mbali nchini kwake kama Vladivostok au Yakutia haendi.

ICC hutegemea enforcement ya nchi wajumbe. Ni kweli India si mjumbe ila huyu bwana haipo siri - yuko isolated na bado anapumulia mashine.
 
Lakini huyu jamaa alikua vizuri wakati alikua anatembeza kichapo dhidi ya magaidi ya dini, bora angeendelea huko, sasa sijui nini kilimuingia.
 
Back
Top Bottom