Sasa mbona hata Xi Jinping wa China naye kaupotezea huo mkutano, lakini husemi chochote!!
Mwisho wa madikiteta umeshafika.Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:
View attachment 2743835
Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.
"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"
Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.
Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:
View attachment 2743833
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Aligusa pabaya.
Chezea vingine siyo ICC.
Mtamtega sana kwa pumba,hiyo ni mashine konki,kama mnambavu ingieni Moscow mumtoe madarakani.Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:
View attachment 2743835
Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.
"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"
Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.
Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:
View attachment 2743833
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Aligusa pabaya.
Chezea vingine siyo ICC.
Big ups to ma homie Putin ✔️ Anaejiona mmbabe wa dunia akamkamate pale Kremlin!!Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:
View attachment 2743835
Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.
"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"
Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.
Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:
View attachment 2743833
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Aligusa pabaya.
Chezea vingine siyo ICC.
Hata Kremlin hayupo! Amejichimbia kwenye bunker kuogopa drones za Zele!Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama:
View attachment 2743835
Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin.
"Kwamba, hatoki mtu Moscow!"
Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India.
Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia:
View attachment 2743833
Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Aligusa pabaya.
Chezea vingine siyo ICC.
Big ups to ma homie Putin ✔️ Anaejiona mmbabe wa dunia akamkamate pale Kremlin!!
Marekani sio mwanachama wa ICCICC bila Marekani hamna kitu
Unajua Marekani inatoa kiasi gani Kwa mwaka kuifadhili ICC?Marekani sio mwanachama wa ICC
Kuna Jike Shupa moja la Jamhuri ya Wapumbavu, ana kaudikteka kake uchwara wa kung'ata huku anapuliza. Nae ajifunze kwa wababe wanavyoufyata.Mwisho wa madikiteta umeshafika.
Akianza kuufyata Putin mbuzi wengine watafanyaje?
Mtamtega sana kwa pumba,hiyo ni mashine konki,kama mnambavu ingieni Moscow mumtoe madarakani.
Hata huyo Biden hawezi kwenda Afghanistan kifalafala
Putin anaondoa mgogoro wa Kidiplomasia na nchi washirika wake ni Akili tu , lakini sio kwamba anashindwa kwenda kokote
Jitahidi kuwa na heshima,yaani raisi Putin unamtolea mfano wa huyo panya?
Mkuu kwann wasifanye kama ilivyokua kwa Gaddafi au Saddam Hussein? Wavamie tu 🤣🤣🤣!!