Gabo: Mimi najituma ila kuna watu hawaoni nikijituma

Gabo: Mimi najituma ila kuna watu hawaoni nikijituma

Wandani tv

Member
Joined
Feb 22, 2019
Posts
7
Reaction score
9
Sikumbili zimepita toka ushindani mkubwa wa kugombania vijiko (tuzo)vyenye heshima kubwa kutoka AZAM TV, msanii Gabo Zigamba kajitokeza na kutoa shukurani kwa Watanzania, walio muombea usiku kucha na kumpigia kura kwa wingi ili aendeleze kushikilia nafisi ya kuwatetea watanzania kwa kutengeneza film zenye maadili

Vilevile Gabo kaongeza kuhusu wasanii kutoshirikiana naimani bongo movie ya Gabo siyo ya Kanumba kipindi cha nyuma kulikuwa na ushindani mkubwa tofauti na sasa, wakati mwingine huwa nikimfikiria Juma Kilowoko(smSajuki) huwa nalia maana Kanumba alikua akidondosha, Ray Kigosi anatoa mara Sajuki anatoa, apoutaskia steps inawaambia mashabiki somaiyooo! hahahaha

Lakini leo hamna vitu kama hivyo kabisa, alafu unamuona MTU au kumskia Gabo mbona yeye? Ndiyo ni mimi sababu najituma, kuna baadhi ya wasanii hawapendi au hawataki kukubali kuwa Mimi najituma hayo kayazungumza Gabo zigamba alipo tufikia Wandani tv

FB_IMG_15510910800467796.jpg
 
Back
Top Bottom