Gabo Zigamba: Hakuna wanawake wa kuoa siku hizi ‘kuna majike shupa’

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri na filamu ya ‘Safari ya Gwalu’ Gabo Zigamba amefunguka kwa kusema kuwa siku hizi hakuna wanawake wa kuoa.

Mwigizaji huyo ambaye anapewa nafasi kubwa yakufanya vizuri zaidi katika tasnia ya filamu, amesema wanawake wengi wa siku hizi hawajatulia.

“Wanawake hakuna siku hizi kuna majike shupa,” Gabo alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM. “Mwanamke ukimwambia aje sehemu akiwa amependeza ndio atakuvalia mavazi ya ajabu yasiyo na stara. Ukiitoa njaa kutoka tumboni ukaiweka kwenye akili huwezi kuwa sawa,”

Katika hatua nyingine mwigizaji huyo amewataka mashabiki wake wa filamu kuendelea kusupport kazi zake za filamu ambazo zipo sokoni.

 
Najua kuna watu mapovu yatawatoka ila huo ndio ukweli, hilo Linaitwa jiwe la gizani ukisikia kelele ujue limempata mtu[emoji23] [emoji23]
Ukweli circle yake yeye ndio mbovu sie huku maneromango hatuwaambii bint za watu tutoke tunamalizana na wazee wao baada ya mtongozo wa miezi sita unachukua mwali unaweka ndani kitu saafi!
Sasa yeye anatafuta mke kwenye kundi la machangudoa unategemea apate mke kweli?si muoaji na hajui wapu kwa kupata mke aendelee tu ku ngonoka na wahuni wenzake mpaka umri utakapo mjibu!
 
Siku hizi watoto washayajua mapenzi toka wakiwa tumboni mwa mama zao, kilichobaki ni hit n run, ukijifanya unajua kupenda eti uoe itakula kwako, watu wapo after money
 
Waowaji na waolewaji wapo sana...

Inategemea wewe unavo behave
 
hana lolote mbona ana ndoa mbili ya mkewe wa kwanza na husna sajent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…