Gabo Zigamba: Hakuna wanawake wa kuoa siku hizi ‘kuna majike shupa’

Gabo Zigamba: Hakuna wanawake wa kuoa siku hizi ‘kuna majike shupa’

Labda kama anamsema mke wake husna.

1478854568581.png


1478854599241.png
 
Kama yy ajaona wa kuoa awaachie wenzie. Si kawatafuna sana mademu wa bongo movie kirahisi ndiyo maana ajaona wa kuoa
 
Yaani hata dada zake hawana sifa za kuolewa? Kauli za namna hiyo hutolewa na mtu asiyefikiri sawasawa.

Vv
 
9b1793e32e7dac7b6630d0d8b7bac71e.jpg
Kuiga sana watu wa nje ndo kumewaharibu wanawake wa kizazi hiki [emoji26]
 
9b1793e32e7dac7b6630d0d8b7bac71e.jpg
Kuiga sana watu wa nje ndo kumewaharibu wanawake wa kizazi hiki [emoji26]
Tofauti ni kubwa sana hapo, siku hzi mavazi yanayovaliwa ni hatari sana, Na wanaovaa hivyo asilimia kubwa ni wasomi wetu walioelimika.
 
Siku zote watu tunaowavuta kwenye maisha yetu ni watu tunaofanana nao.........

Ndio maana ukitaka kumjua vyema na kumtathimini ni rahisi kwa kuangalia watu anaojishughulisha nao..........

Huwezi kumpa mke mcha Mungu hali ya kuwa wewe matendo yako yanakuweka mbali na wacha Mungu......

Huwezi kumpata mume mwema hali ya kuwa wewe si mwenye kuyatenda hayo mema......

Nafsi zetu zinatamani yale ambayo miili yetu inashindwa kuyahimili.......

Wakati unakumbana na magumu kwenye maisha yako ya mahusiano....usiangalie mtu wa kumlaumu kwani mtu wa kwanza kujilaumu ni wewe.....kwani matendo yako ndio yaliyowavuta watu hao karibu yako........

Nikimcheki huyu bwana mdogo siwezi kumtofautisha na hao anaowaita hawajatulia kwani inawezekana hata yeye ana msululu mrefu wa mabinti aliowafunua na kuwaacha.......

Icho anachokipata ndicho anachokistahili....kwani ndicho alichokipanda........

Hatuwezi kubadilisha hali zetu pasi na kubadilika sisi wenyewe kwanza kuanzia ndani ya nafsi zetu......

Mambo mazuri...au maisha mazuri kwenye mahusiano hayaji kama maji bali yanapiganiwa.....na waiopata kuyatambua hayo ndio hawa tunaowaona leo wakifurahia maisha yao ya mahusiano kama wapo peponi.......


IT BEGINS WITH YOU......

Huwezi kumkuta kunguru kwenye kundi la njiwa......
 
Akwende Zake huko, anavyosema hakuna wanawake wa kuoa, yy mwenyewe ni muoaji? Kila siku tunaona watu wanafunga ndoa ina maana hao wanawake wanatoka wapi.
Wanaoa Majike shupa!
 
Back
Top Bottom