Gabriel Gerald Geay Anogesha mbio za Uwanjani za Majaribio (Trials, Track and Fields Events) Jijini Arusha

Gabriel Gerald Geay Anogesha mbio za Uwanjani za Majaribio (Trials, Track and Fields Events) Jijini Arusha

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha wa kimataifa, Gabriel Gerald Geay anogesha mashindano ya majaribio ya Uwanjani leo 8/7/2023 kwa kutoa zawadi ya pesa kwa baadhi ya wanariadha washindi na wenye muda mzuri kwa baadhi ya michezo hiyo.

Mashindano hayo yamefanyika kwa mara ya pili mfululizo na kushirikisha wanariadha kutoka Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida.

Matokeo ya michezo yote ni kama yameambatanishwa.

IMG_2656.jpeg

IMG_2657.jpeg

IMG_2658.jpeg
 
Back
Top Bottom