Jamani mbona wazungu wakikosea kiswahili hatushangai.Lakini sisi tunavyokosoana mpaka aibu ungewekwa wewe tuone chako.
kwa Mtazao wake eti Wachina wameleta maendeleo Afrika kwa Kujenga Viwanja vya Mpira 'akasema "Football grounds" Labda akimaanisha kiwanja kile cha TEMEKE (UWANJA WA TAIFA MPYA). Hakuwa hata na takwimu za kuthibitisha mahala pengine katika Afrika ambapo Wachina wamejenga Uwanja wa mpira wa miguu kama angeulizwa hilo.
Amezungumzia Afrika haiwezi kuishi bila China na kubainisha kuwa "milioni of exports to China from Tanzania especially cotton, sisal, coffee " etc na Kuhoji kwa kiingereza eti "... and if not China, where we could sent our products???> Hajui hata maana ya bishara za kimataifa zinafanyikaji na hakuweza kufahamu ni kiasi gani cha thamani za bidhaa za mazao ya Kilimo ambazo Tanzania imeuza nchini China.
Alipoulizwa kuhusu changamoto za ushirikiana ulipo kati ya Afrika na China alisema "Problem is technology for example machine, how to operate machine is difficult in Africa....." khaaaa..
Mwendesha mada akaingia kati na kumkatiza " oh yes, I get your point...."
Labda TBC waliamua kumtuma yeye kwa kuwa kwa sasa anashikilia lile dawati ambalo Clement Mshana alikuwa akishikilia wakati wa TIDO.
kwa Mtazao wake eti Wachina wameleta maendeleo Afrika kwa Kujenga Viwanja vya Mpira 'akasema "Football grounds" Labda akimaanisha kiwanja kile cha TEMEKE (UWANJA WA TAIFA MPYA). Hakuwa hata na takwimu za kuthibitisha mahala pengine katika Afrika ambapo Wachina wamejenga Uwanja wa mpira wa miguu kama angeulizwa hilo.
Amezungumzia Afrika haiwezi kuishi bila China na kubainisha kuwa "milioni of exports to China from Tanzania especially cotton, sisal, coffee " etc na Kuhoji kwa kiingereza eti "... and if not China, where we could sent our products???> Hajui hata maana ya bishara za kimataifa zinafanyikaji na hakuweza kufahamu ni kiasi gani cha thamani za bidhaa za mazao ya Kilimo ambazo Tanzania imeuza nchini China.
Alipoulizwa kuhusu changamoto za ushirikiana ulipo kati ya Afrika na China alisema "Problem is technology for example machine, how to operate machine is difficult in Africa....." khaaaa..
Mwendesha mada akaingia kati na kumkatiza " oh yes, I get your point...."
Labda TBC waliamua kumtuma yeye kwa kuwa kwa sasa anashikilia lile dawati ambalo Clement Mshana alikuwa akishikilia wakati wa TIDO.
acha wivu.
Wivu wa nini Kiongozi tunapozungumzia masuala yenye maslahi kwa taifa??
Kijana anatumia Kodi za wananchi kuitangaza TZ kwa staili hiyo, ni vyema tuinapofika kwenye masuala kama haya nyeti TBC wakatuma mtu mwenye uwezo wa masuala ya Kimataifa au biashara za kimataifa kati ya China na Afrika. Sidhani kama hii ilikuwa ni safari tu ya kawaida kwenda kutenmbelea China!!.
Huyu Kilaza namfahamu, nilishawahi soma nae Advance Certificate ya Radio and TV broadcasting, by the time nikiwa O level, yeye pia alikuwa amemaliza f4m 4 nikaendelea na 4m 5 yeye akaendelea na utangazaji, he was dull since chuo na kujipendekeza kwake kwa wakuu ndio kumemfikisha hapo..
Watanzania wakiambiwa ukweli wanakimbilia wivu,hater etc,Kwa walioangalia ni ukweli tcb wamechemka kumpeleka zakaria tuwe wakweli jamani sio kila mtu hater si kila mtu ana wivu..,wivu gani sasa? Kwenda china? Kupanda evarest mountain? Tuwe great thinker.