Acha uongo, gaucho hafanani hata kidogo na ronaldo lima, gaucho anafanana kimchezo na okocha wa nigeria. Kumbuka okocha ndiye aliye msimamia gaucho pale PSG ufaransa wakati wakicheza timu moja.mbona chenga za gaucho ni kopi ya chenga za ronaldo de lima,ambazo lima nae alikopi kwa 'wazee' waliotangulia kasoro chenga moja tu,anachofanya gaucho ni kuongeza madoido
Ni kweli kuwa baadhi ya chenga za Gaucho zilifanana sana na za Ronaldo "el phenomena" De Lima ambaye naye ni moja ya wafungaji magoli hodari zaidi kuwahi kutokea. Lakini tofauti na Ronaldo, Gaucho alikuwa anacheza mpira wa kuvutia zaidi na kwa umahiri ambao hakuna mchezaji ambaye ameweza kufikia kiwango change mpaka sasa.mbona chenga za gaucho ni kopi ya chenga za ronaldo de lima,ambazo lima nae alikopi kwa 'wazee' waliotangulia kasoro chenga moja tu,anachofanya gaucho ni kuongeza madoido
Sidhani.Ilisemwa hivyo kwa robinho wala haikuwa hivyo....ikadhaniwa hivyo kwa Pato na haikuwa hivyo.Ikaja kwa Neymar jr haipo hivyo.Sasa inakuja kwa Jesu nina mashaka kama itakuwa tofauti na hao wengine[/QUMadalali kazini ndio msimu wao huu, ni kama ile picha dalali anauza nyumba anasema huu mtaa una amani kweli hapa hakuna wizi ili auze nyumba hapo hapo nje mtu anapigwa risasi. Lini ulisikia dalali akandie kitu anachotaka kuuza. Mimi sijawahi kumuona na kama ni mzuri si angekuwa hata bench la team ya Brazil. Au labda tumuone Olympic kama atakuwepo ndio tutajuwa.
nenda google,katafute ulinganifu wa gaucho na de lima kwa video,ronaldinho maana yake Ronaldo mdogo,umeanza kuangalia mpira jana unatuita wazee wazima waongo,ronaldinho kapiga chenga gani ya okocha!?Acha uongo, gaucho hafanani hata kidogo na ronaldo lima, gaucho anafanana kimchezo na okocha wa nigeria. Kumbuka okocha ndiye aliye msimamia gaucho pale PSG ufaransa wakati wakicheza timu moja.