Gachagua anatoa kauli kama za Hayati Magufuli. Ndiye ataleta machafuko Kenya

Gachagua anatoa kauli kama za Hayati Magufuli. Ndiye ataleta machafuko Kenya

Ni zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.
Awashindwi kumkamata wenzako wanamfahamu na kujua huyo Raila ni nani ndiyo maana wapo makini sana na wazo kama lako.

Kitu kinaweza tokea baada ya hapo utakuja kusema "kwa nini wasingemuacha tu"

Kila nchi ina mtu wake ambaye jamii fulani inamkubali as ilivyokuwa kwenu hapa Tanganyika.
 
Kauli kama hii ni mwiba mkali sana kwa muzee RAO ambaye anajinasibisha kuwa kinara na bingwa wa mabadiriko ya siasa za Kenya.

Jamaa anamponda Odinga na Uhuru na kusema waende wakafanya bargain amendment wa walichopora na siyo kutaka hand shake!

View attachment 2568481

Taarifa kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa kuhusu Kenya wao wanasema 👇🏾;
View attachment 2568551
Hii issue Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aingile kati isije ikafikia tena kama wakati ule hadi ilihitajika JK kwenda kumaliza mgogoro kule. Mimi naamini kabisa kuwa Rais Uhuru anao uwezo wa kuutuliza mgogoro huu na Kenya yetu ikaendekea kubaki ya amani kama ambavyo imekuwa siku zote. Watu wameanza kufa, inasikitisha sana
 
Sijawai ona hekima ya Rutto toka nimfahamu. Hii ya kutuma watu kuchoma mashamba y na kupora mifugo kwa watu anaowahisi wapo kinyume nae ni kuitumbukiza Kenya katika vurugu zisizokoma.
Kenyatta atabaki kuwa rais mwenye hekima zaidi hapa Africa mashariki.
Mkuu wa kuchonga na kupiga msasa maandamano, probably ni yule mstaafu (assuming mathematical formula ya drama za politics imeshindwa kuleta thamani wazihi (expected value) ya theoretical letter x, which I highly doubt it).

Ruto and Uhuru know very well what they're doing. There is a high probability that they are still VERY close friends as ever before. Truth be told, ^Uhuru's wealth^ almost covers most part of the same in the whole country!

Who knows? Huenda Raila naye ni sehemu ya mfumo uleule wa serikali. Those guys are fighting for a BIG PICTURE! If you know, you know!

If they really have such solid charges of previous illegal practices against the former president Uhuru, why waste time blabbing almost empty talks instead of availing the said criminals already into Kamiti Maximum Prison through the so-called ^Due Process^?
 
Hii issue Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aingile kati isije ikafikia tena kama wakati ule hadi ilihitajika JK kwenda kumaliza mgogoro kule. Mimi naamini kabisa kuwa Rais Uhuru anao uwezo wa kuutuliza mgogoro huu na Kenya yetu ikaendekea kubaki ya amani kama ambavyo imekuwa siku zote. Watu wameanza kufa, inasikitisha sana
Ndg mukenya unadhani huyo Gachagua anaweza kuivusha nchi yenu wakati anaonesha kabisa ana uhasama kwa viongozi wastaafu kama Uhuru?.

Na huyo mutu Gachagua amemwambia Uhuru na Raila wakienda ikulu waandike barua kuwa wanataka kuja na wakifika waongee issue za kulipa deni kwa pesa walizopora kwa government!.
 
Mkuu wa kuchonga na kupiga msasa maandamano, probably ni yule mstaafu (assuming mathematical formula ya drama za politics imeshindwa kuleta thamani wazihi (expected value) ya theoretical letter x, which I highly doubt it).

Ruto and Uhuru know very well what they're doing. There is a high probability that they are still VERY close friends as ever before. Truth be told, ^Uhuru's wealth^ almost covers most part of the same in the whole country!

Who knows? Huenda Raila naye ni sehemu ya mfumo uleule wa serikali. Those guys are fighting for a BIG PICTURE! If you know, you know!

If they really have such solid charges of previous illegal practices against the former president Uhuru, why waste time blabbing almost empty talks instead of availing the said criminals already into Kamiti Maximum Prison through the so-called ^Due Process^?
Ooh. Your comment inanifikirisha mengi, ooh!!

Rutto is not bigger than the Kenya, If his predecessor acted, dealt and had behaved like him the way he deals with his challengers Kenya would have burnt to ashes..let not talk who's who, and who's behind of Odinga .. Kenyatta dealt wisely with Odinga, why should he not?. this Dude talks carelessly, acts unwisely and he should know that his unguided tongue will lead Kenya into chaos.
Is undoubtedly that those looters wich invaded Kenyatta's farm were hired by Rutto.
Rutto is playing with fire,Ooh!!.
 
Raila ni choko tu,amuache Ruto atawale kwa amani,awaletee wakenya maendeleo. Raila apigwe Risasi choko tu,kapewa bilioni moja na uhuru ili araribu machafuko..sasa hiyo si biashara anafanya na damu za wakenya..wakenya ni makondoo
Ww kichaa kweli yaan rails ahongwe na uhuru!! Railway ni tajiri wa kutupa sio mtu wa kuhongwa
 
Ni zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.
Raila ni untouchable hawezi kuguswa, kumgusa ni kuitumbukizwa nchi kwenye machafuko makubwa
 
Back
Top Bottom