Awashindwi kumkamata wenzako wanamfahamu na kujua huyo Raila ni nani ndiyo maana wapo makini sana na wazo kama lako.Ni zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.
ππΎπNi zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.
Madaraka ni matamu asikwambie mtu anachofanya raila na wafuasi wake ni tusi kwa uongozi wowote duniani,ni kama kumshika dume la simba kende.
Hii issue Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aingile kati isije ikafikia tena kama wakati ule hadi ilihitajika JK kwenda kumaliza mgogoro kule. Mimi naamini kabisa kuwa Rais Uhuru anao uwezo wa kuutuliza mgogoro huu na Kenya yetu ikaendekea kubaki ya amani kama ambavyo imekuwa siku zote. Watu wameanza kufa, inasikitisha sanaKauli kama hii ni mwiba mkali sana kwa muzee RAO ambaye anajinasibisha kuwa kinara na bingwa wa mabadiriko ya siasa za Kenya.
Jamaa anamponda Odinga na Uhuru na kusema waende wakafanya bargain amendment wa walichopora na siyo kutaka hand shake!
View attachment 2568481
Taarifa kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa kuhusu Kenya wao wanasema ππΎ;
View attachment 2568551
Mkuu wa kuchonga na kupiga msasa maandamano, probably ni yule mstaafu (assuming mathematical formula ya drama za politics imeshindwa kuleta thamani wazihi (expected value) ya theoretical letter x, which I highly doubt it).Sijawai ona hekima ya Rutto toka nimfahamu. Hii ya kutuma watu kuchoma mashamba y na kupora mifugo kwa watu anaowahisi wapo kinyume nae ni kuitumbukiza Kenya katika vurugu zisizokoma.
Kenyatta atabaki kuwa rais mwenye hekima zaidi hapa Africa mashariki.
Ndg mukenya unadhani huyo Gachagua anaweza kuivusha nchi yenu wakati anaonesha kabisa ana uhasama kwa viongozi wastaafu kama Uhuru?.Hii issue Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aingile kati isije ikafikia tena kama wakati ule hadi ilihitajika JK kwenda kumaliza mgogoro kule. Mimi naamini kabisa kuwa Rais Uhuru anao uwezo wa kuutuliza mgogoro huu na Kenya yetu ikaendekea kubaki ya amani kama ambavyo imekuwa siku zote. Watu wameanza kufa, inasikitisha sana
Ooh. Your comment inanifikirisha mengi, ooh!!Mkuu wa kuchonga na kupiga msasa maandamano, probably ni yule mstaafu (assuming mathematical formula ya drama za politics imeshindwa kuleta thamani wazihi (expected value) ya theoretical letter x, which I highly doubt it).
Ruto and Uhuru know very well what they're doing. There is a high probability that they are still VERY close friends as ever before. Truth be told, ^Uhuru's wealth^ almost covers most part of the same in the whole country!
Who knows? Huenda Raila naye ni sehemu ya mfumo uleule wa serikali. Those guys are fighting for a BIG PICTURE! If you know, you know!
If they really have such solid charges of previous illegal practices against the former president Uhuru, why waste time blabbing almost empty talks instead of availing the said criminals already into Kamiti Maximum Prison through the so-called ^Due Process^?
Ww kichaa kweli yaan rails ahongwe na uhuru!! Railway ni tajiri wa kutupa sio mtu wa kuhongwaRaila ni choko tu,amuache Ruto atawale kwa amani,awaletee wakenya maendeleo. Raila apigwe Risasi choko tu,kapewa bilioni moja na uhuru ili araribu machafuko..sasa hiyo si biashara anafanya na damu za wakenya..wakenya ni makondoo
Raila ni untouchable hawezi kuguswa, kumgusa ni kuitumbukizwa nchi kwenye machafuko makubwaNi zambi kubwa kutomkamata Raila , hata kama fujo itatokea lakini Raila aonje mkono wa sheria, apelekwe Arusha kama Nairobi imeshindikana.