Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Walinzi waliokuwa wanamlinda Naibu Rais Gachagua Hospitalini Karen wameondolewa baada ya MATOKEO ya Senate kumuondoa ofisini. Kwa sasa Rigathi Gachagua ni raia tu kama Eric Omondi.
Pia soma
Pia soma