coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Hii nsio dhana ya ubaya ubwelaUmeandika kwa furaha utadhani Gachagwa alikuwa amekuibia. Wabongo mnapenda sana kuona anguko la mtu. Gachagua ameshatoboa financially in life hata akipoteza nafasi ya uongozi.