Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Safi sanaWalinzi waliokua wanamlinda Naibu Rais Gachagua Hospitalini Karen wameondolewa baada ya MATOKEO ya Senate kumuondoa ofisini. Kwa sasa Rigathi Gachagua ni raia tu kama Eric Omondi
Ametoboa financially akasingizia ugonjwa ili aonewe huruma?Umeandika kwa furaha utadhani Gachagwa alikuwa amekuibia. Wabongo mnapenda sana kuona anguko la mtu. Gachagua ameshatoboa financially in life hata akipoteza nafasi ya uongozi.
Hivi alipata uongozi alikuwa anautafuta huko AU?Odinga
Jamaa alikuaje Naibu Rais?Gachagua ni mjinga kasingizia ugonjwa baada ya kuona mashtaka yamemzidi kimo.
Inamsaidia nini raia wa Kenya? Haina tija kwa taifa la Kenya bali chuki tuSafi sana
Kwahiyo mkuu, ulitaka watu wanuonee huruma sababu ya upuuzi wake wa kukiuka katiba huku anafaham anachokifanya!Watanzia tuna roho mbaya ya kufurahia kuona binadamu mwenzetu anaangamia hata kama hatuna tunachofaidika au kupoteza kwa kuangamia kwake
Yule pimbi alikua anawatenga Wakenya ubaguzi wao wa kikabila uendelee kuwa zaidi ya sasa kama wao wanamuona ana matatizo wewe Mkelewe unaona yupo sawa hauoni pana tatizo hapo..Watanzia tuna roho mbaya ya kufurahia kuona binadamu mwenzetu anaangamia hata kama hatuna tunachofaidika au kupoteza kwa kuangamia kwake
Mkuu umegundua namna wabongo walivyo wambea.Ccm wanaendelea kufanya uchafuzi huku
Raila ni mpuuzi sana. Na atakosa kiti cha AU. Namuombea mabaya.Odinga katumika kumsafisha Ruto, ni bora angekaa pembeni amuache Ruto ajikaange kwa mafuta yake Mwenyewe. Hiki ndio kifo chake kisiasa
Uchaguzi ni February ijayo, ila anazidi kupoteza imani kwa wananchiHivi alipata uongozi alikuwa anautafuta huko AU?