Hii nsio dhana ya ubaya ubwelaUmeandika kwa furaha utadhani Gachagwa alikuwa amekuibia. Wabongo mnapenda sana kuona anguko la mtu. Gachagua ameshatoboa financially in life hata akipoteza nafasi ya uongozi.
Ila Kenya wana misimamo yao sio poaaaa!.
Heri yaoIla Kenya wana misimamo yao sio poaaaa!.
Wakisimika wanasimika kweli kweli
Gachagua domo Kaya. Yaan bado anachonga na kuamini bado ni Naibu Rais.Yule pimbi alikua anawatenga Wakenya ubaguzi wao wa kikabila uendelee kuwa zaidi ya sasa kama wao wanamuona ana matatizo wewe Mkelewe unaona yupo sawa hauoni pana tatizo hapo..
Politics is a dirt game, hate the game and not the players!Walinzi waliokuwa wanamlinda Naibu Rais Gachagua Hospitalini Karen wameondolewa baada ya MATOKEO ya Senate kumuondoa ofisini. Kwa sasa Rigathi Gachagua ni raia tu kama Eric Omondi.
Pia soma
Licha ya kutoboa, he was fighting for his people. Ruto ni wa kuwa nae makini sana.Umeandika kwa furaha utadhani Gachagwa alikuwa amekuibia. Wabongo mnapenda sana kuona anguko la mtu. Gachagua ameshatoboa financially in life hata akipoteza nafasi ya uongozi.
Ni asili ya masikini.Watanzia tuna roho mbaya ya kufurahia kuona binadamu mwenzetu anaangamia hata kama hatuna tunachofaidika au kupoteza kwa kuangamia kwake
Yule ni wale Wakenya asili wenye ubaguzi uliopo kwenye damu bora hata Ruto na anaamini sana katika uongozi na pia alijua huko mbele atakua Rais wa Kenya kwa zile dharau alizokua anaonyesha alijua hawezi kutoka..Gachagua domo Kaya. Yaan bado anachonga na kuamini bado ni Naibu Rais.