mwakatojofu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2008
- 326
- 227
Hivi cha muhimu zaid nin kwa nchi? Demokrasia, dini au maendeleo ya nchi?
Nasikia demokrasia iko ndogo libya. Jamaa kang'ang'ania madaraka hataki kutoka. Naamin wananchi wa kule pia wanabanwabanwa kiainaaina japo nje hatusikii sana kelele (sina uhakika na hili). Hata hivyo kiujumla demokrasia kule ni ndogo
Jamaa ni mdini na naamin ingekuwa ndani ya uwezo wake akina sisi sote angetaka tuwe waislamu. Du.
Wakat huohuo tunasikia shida kule ni kidogo. Naweza kuongea kiujumla kuwa nchi ile ina hali nzur kiuchumi kuliko nchi nyingi hapa afrika. Na kama hili ni kweli hatuwez kuunganisha mafanikio ya libya na uongoz wa gadaf mwenyewe personally.
Waafrika tunataka zaid nin kwanza? Demokrasia au maendeleo? Ni kweli pasipo na demokrasia hakuna maendeleo? Unasemaje kuhusu china? Ni kweli pasipo na uchaguz wa kila baada ya miaka 4 au 5 hamna maendeleo? Mi naona hapana. Zaidzaid hiz chaguz za mara kwa mara zinatulostisha na kutufanya tuwe too dependent on misaada ya nje. Hebu fikiria, kila baada ya miaka mitano mabilion yanatumika kwenye uchaguz. Hizo hela zingetosha kujenga vyuo vingap vya ufundi? Na zingejenga vituo vingap vya afya?
Najua kuna faida ya hiz chaguz za mara kwa mara. Akili mbovu au ya ufisad inatoka na inaingia akili yenye uzalendo na yenye uwezo mzur zaid wa kutatia matatizo yetu. Lakin je, ndivyo inavyokuwa? Uzoefu wetu unaonyesha hivyo hapa afrika? Wapi! Hamna kitu kama hicho. Inakuja timu hii, inatimua timua na kuja ingine kwa gharama kubwa zaid. Nayo inatimiuatimua kabla haijaja ingine. Ndo mtindo wa maisha yetu.
Hii ni demokrasia aghali sana. Inatufanya tuwe alosto na tegemez zaid na zaid
Tatizo letu ni kukopi. Matokeo tunakopi hata visivyo kopika halafu vinatutokea puani
Gadaf anamapunguf yake huenda mengi tu, lakin kama haui raia/wapinzan wake, sion kama ni kiongoz asiyefaa kias hicho
Afrika kila kitu kipo. Afrika inachohitaj ni kiongoz/viongoz wenye nia na uwezo wa kutumia vilivyopo katka nchi zao kuendeleza jamii zao. Nasikia gadaf hilo ameliweza kwa kiwango kikubwa
Nasikia demokrasia iko ndogo libya. Jamaa kang'ang'ania madaraka hataki kutoka. Naamin wananchi wa kule pia wanabanwabanwa kiainaaina japo nje hatusikii sana kelele (sina uhakika na hili). Hata hivyo kiujumla demokrasia kule ni ndogo
Jamaa ni mdini na naamin ingekuwa ndani ya uwezo wake akina sisi sote angetaka tuwe waislamu. Du.
Wakat huohuo tunasikia shida kule ni kidogo. Naweza kuongea kiujumla kuwa nchi ile ina hali nzur kiuchumi kuliko nchi nyingi hapa afrika. Na kama hili ni kweli hatuwez kuunganisha mafanikio ya libya na uongoz wa gadaf mwenyewe personally.
Waafrika tunataka zaid nin kwanza? Demokrasia au maendeleo? Ni kweli pasipo na demokrasia hakuna maendeleo? Unasemaje kuhusu china? Ni kweli pasipo na uchaguz wa kila baada ya miaka 4 au 5 hamna maendeleo? Mi naona hapana. Zaidzaid hiz chaguz za mara kwa mara zinatulostisha na kutufanya tuwe too dependent on misaada ya nje. Hebu fikiria, kila baada ya miaka mitano mabilion yanatumika kwenye uchaguz. Hizo hela zingetosha kujenga vyuo vingap vya ufundi? Na zingejenga vituo vingap vya afya?
Najua kuna faida ya hiz chaguz za mara kwa mara. Akili mbovu au ya ufisad inatoka na inaingia akili yenye uzalendo na yenye uwezo mzur zaid wa kutatia matatizo yetu. Lakin je, ndivyo inavyokuwa? Uzoefu wetu unaonyesha hivyo hapa afrika? Wapi! Hamna kitu kama hicho. Inakuja timu hii, inatimua timua na kuja ingine kwa gharama kubwa zaid. Nayo inatimiuatimua kabla haijaja ingine. Ndo mtindo wa maisha yetu.
Hii ni demokrasia aghali sana. Inatufanya tuwe alosto na tegemez zaid na zaid
Tatizo letu ni kukopi. Matokeo tunakopi hata visivyo kopika halafu vinatutokea puani
Gadaf anamapunguf yake huenda mengi tu, lakin kama haui raia/wapinzan wake, sion kama ni kiongoz asiyefaa kias hicho
Afrika kila kitu kipo. Afrika inachohitaj ni kiongoz/viongoz wenye nia na uwezo wa kutumia vilivyopo katka nchi zao kuendeleza jamii zao. Nasikia gadaf hilo ameliweza kwa kiwango kikubwa