kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Nimeamini mpira na timu bora ni mbinu za soka toka kwa kocha.
Wakati huo huo wachezaji wanaojielewa na wenye vipaji.
Gadiola kafanya makubwa kuunda timu inayoelewana na yenye mbinu za mchezo.
Msimu uliopita alichezea sana vichapo, lakini sasa kaja kuwashika !!
Ligi bado!!
Wakati huo huo wachezaji wanaojielewa na wenye vipaji.
Gadiola kafanya makubwa kuunda timu inayoelewana na yenye mbinu za mchezo.
Msimu uliopita alichezea sana vichapo, lakini sasa kaja kuwashika !!
Ligi bado!!