Gadner G. Habash arudi rasmi Clouds FM

Mtangazaji Gardner G. Habash ametangazarasmikurejea katika Kituo chake cha kazi cha awali,CloudsFM akitokea EFM, na kuendelea kuunguruma katika kipindi chake kile kile cha JAHAZI.

Hatua hii imekuja baada ya watangazaji Gerald Hando na Paul James kuondoka Clouds Media Group
 
Gerald Hando na PJ wametimukia wapi?
 
Hawa Gerald na PJ lazma watapata dili fasta sana maana ndo watangazaj pekee waliokuw wamebak pale Clouds wenye rhythm ya aina ake.
 
watakua wana swap

kesho mtasikia wakina PJ wametua E.FM
 
karohooo lazima karuke alikurukupa akasapot beef la mawingu na jide sasa kanyooosha miguuu juuu
 
Vizuri ndio yatufunza kuchunga midomo yetu pale tuondokapo mahali.
 
Ila haya mambo huwa hayapendezi na wala sio ustaarabu kwa GT.

Mkuu usijali huyo member ananitania tu na ndiyo maana hata mimi nimemjibu kiutani pia. Napenda sana jokes na ndiyo maana utaona members wote siku hizi wameshazoea sasa na wananiita hivyo ila ni katika hali tu ya kunogesha jukwaa. Pole kama umejisikia vibaya Mkuu.
 
Panya karudi zake shimoni kujificha na Embe karejea zake mtini ili akomae vizuri.
Ni kweli kabisa na tarehe 1/4 walishiriki PB kwa kusoma magazeti.....ilikuwa safi sana mkuu. Wiki ijayo wataanza rasmi na ujio mpya wa Clouds Fm.
 

Du! Gentamycine umeokoka siku hizi?.Hapa tunaokufahamu yangeshashuka matusi yasiyo na idadi,nakushauri usiwe hivi.Uwe kama zamani,mzee wa majigambo,misifa,unayejifanyaga unajua kila kitu bila kusahau na uongo.
 
Du! Gentamycine umeokoka siku hizi?.Hapa tunaokufahamu yangeshashuka matusi yasiyo na idadi,nakushauri usiwe hivi.Uwe kama zamani,mzee wa majigambo,misifa,unayejifanyaga unajua kila kitu bila kusahau na uongo.

Mkuu " kipira pori " kinakutekenya?
 
Hivi hii habari ya Masoud Kipanya na Fina Mango kurudi Clouds FM ni kweli au?? Manake hiyo tarehe moja nakumbuka walikuwa Clouds TV halafu ghafla kina Babra wakaamua kuwavuta kuwapa kazi ya kusoma magazeti .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…