Huyo ni muongo wa kutupwa...Ndio Umeshawahi Kuleta Uzushi Humu Ndani Kuwa Clouds Imeuzwa Kwa Yusuph Manji..... Halafu Leo Unasema Clouds Wamemrudisha G. Habashi, Labda Nimsikie Ndio Ntaamin Bila Hivyo Siwezi Kukuamini...!
Nakumbuka it was like kumi na mbili kasorobo nilipotune clouds nlimskia akiwa na kibonde na mwingine ana sauti nzito sijui nani! Kabla ya hapo nlisikiliza efm alikuepo Seth( bikira wa kisukuma), Mpoki na mwingine simfahamuSa kumi kamili nilifungulia hiyo redio kumsikiliza mana nilipendaga utangazaji wake... Matangazo meengi.. Mpaka sa kumi na moja kasoro sikumsikia labda kama kaja baada
LabdaNakumbuka it was like kumi na mbili kasorobo nilipotune clouds nlimskia akiwa na kibonde na mwingine ana sauti nzito sijui nani! Kabla ya hapo nlisikiliza efm alikuepo Seth( bikira wa kisukuma), Mpoki na mwingine simfahamu
So its true jamaa yupo clouds labda kama nimemix sauti yake na mwingine
Umechaganya sauti gadner hajarudi cloudsNakumbuka it was like kumi na mbili kasorobo nilipotune clouds nlimskia akiwa na kibonde na mwingine ana sauti nzito sijui nani! Kabla ya hapo nlisikiliza efm alikuepo Seth( bikira wa kisukuma), Mpoki na mwingine simfahamu
So its true jamaa yupo clouds labda kama nimemix sauti yake na mwingine
Lazima unamchanganya G.Banto...! Gardner hajarudi Clouds...Nakumbuka it was like kumi na mbili kasorobo nilipotune clouds nlimskia akiwa na kibonde na mwingine ana sauti nzito sijui nani! Kabla ya hapo nlisikiliza efm alikuepo Seth( bikira wa kisukuma), Mpoki na mwingine simfahamu
So its true jamaa yupo clouds labda kama nimemix sauti yake na mwingine
Atulie sehemu moja afanye maisha. Kuhamahama sio kufanikiwa atamaliza radio zote mjinMtangazaji mahiri nchi aliyevuma sana na kipindi cha Jahazi cha CloudsFm kabla ya kuhama radio hyo amerejea tena kwenye Radio hyo yenye makazi yake Mikocheni Jijini Dsm. Gadner ameonekana Katika picha akisaini mkataba mbele ya mmoja wa Maboss wa Radio hiyo Shaffih Dauda na inasemekana atarudi pale Jahazini hivi karibuni.
Wale wanahaha kuleta wengine hawawezi kufukuza wale itakuwa wamekimbiwaKakimbizwa na nini huko Efm? Au ni kweli Jide ni mmoja wa Wabia wa Efm?
Bikira ndiyo nani Mkuu?Sasaa yule Bikira atabaki akifanya nini pale maana alikuwa anabebwa sana na huyu Gardner
Si kuna yule mtoto wa kiume Kule E-Fm anayeshangaza umma eti anajiita Bikira wa KisukumaBikira ndiyo nani Mkuu?
Hili litakuwa ni Punga.Si kuna yule mtoto wa kiume Kule E-Fm anayeshangaza umma eti anajiita Bikira wa Kisukuma
Inabidi utenge muda mapema kabisa mkuu maana hili ni dhahiriCapitaiiin dah nafikiria kurudi Kusikiliza Jahazi