Gadner Habash anapokula pesa za watu wa Jide

Gadner Habash anapokula pesa za watu wa Jide

Nitakupm sasa ivi na kukupa no zangu pia heloo nampata akikubari nikupe no zake upige hata wote tukutane live,mana naona unataka kupotosha jamii ina mana mada moja haiwezi fanana majibu izo sound zenu sijajua znalenga nini...mimi mwanaume sio heloo ambae ni mwanamke tuheshimiane kama yeye kakerwa na kusaidia mshambulie kwa ivyo si eti wamoja....nope!!
Aisee, nyie ni watu wa ajabu ile mbaya! Badala ya kuwajia juu wanaowakashifu na kuwatetea hao akina Gardner, weye na mwenzako mnamjia juu na kumtolea povu aliyeongea jambo lisilo na madhara yoyote kwenye madai yenu!!!!! Kwani ni wangapi hapa JF wanatumia ID zaidi ya moja?! Was it the big issue for you "two" guys kutoa mapovu kiasi hicho? Ila hapo pa kumshawishi Heloo anipe namba yake, itakuwa umefanya jambo la maana sana maana bado sijaamini kabisa maelezo yake...lakini namba ya kwako sina haja nayo.
 
Last edited by a moderator:
kifupi best yangu achana na Warumi atakupotezea mudi na hajui anachokifanya...kumbe anawajua mpaka akina wancy wale wanaohusika na malipo kwa jide..akaahidi eti aarudi na majibu kimyaaaaaaaaaaaa!mpaka mambo yamekuwa mengine (nimejua ivyo baada ya yeye kunisahisha eti sio hancy ni wancy na ni kweli......anakuja tena na mengine iyo historia anayosemasio huo wimbo bado jina na angalia jpili hii kwenye DIARY YA JIDE...huwa nachukia sana watu waongo tena wanaojiamiisha kama walikuwepo...ivi huo wimbo wa historia una maneno kama kinyago usitishe.?nyamaza subiri utaiona.

Aaah nimeongea na wahusika, wamesisitiza tena, hakuna kitu kama hicho ni utapeli tu, na ndio maana nikanyamaza, video ya historia ilifanywa November mwaka Jana, na hyo party waliyovaa nguo nyeupe ilikuwa ni preview party ya uo wimbo, hakuna nguo nyeupe kwenye video ya historia.
Ahsante.
 
dhumuni kuu ilikuwa muonekano wa video na ile hadhi ya wahusika ikiwepo unadhifu suti na mashati meupe..moja BAHARI BEACH nyumbani kwa dada mmoja na pili times FM ....USIKU...MASAAA 8...BADA YA HAPO MALIPO,YAANI NIACHE SHUGHULI ZANGU ZA KILA SIKU nikazunguke tu sehemu zote?yeye iyo video ataigawa bure tu kwenye media? hata akili ndogo itajua kulikuwa na kitu hapa...
ishu hapa je makubaliano yenu yalikuwa mtalipwa???
 
Warumi nakuheshimu ...ivi umeangalia kipindi cha leo cha jide EATV auunasema tu kujifurahisha...jiheshimu utaheshimiwa!
 
kimya cha hii habari ni kwamba bada ya kuona j5 ile watu wangeandamana wakawalipa japo si kile kiasi cha makabaliano ya awali.
pole kwa WARUMI mpenda kupotosha ukweli na SOON video itatoka sijui ataihama Jf KWA aibu au atabadilisha ID
SUBILINI MTAONA.
The guy is too dangerous to be with!
 
Kadaianeni uko mlikokutania acheni umbea wenu, jide mmeambiwa anaishi jamii forum? Mfuaten kimara au nyumbani lounge, dhiki tu zimewajaa kwan mlilazimishwa

We mbona ukiletaga shobo zako hapa za udaku hamna mtu anakushobokea??umeombwa ama shobo tu kufatilia ya watu, kaa kimya waache waongee Jamii forum sio ta mama ako.
Vunga kama vp
 
We mbona ukiletaga shobo zako hapa za udaku hamna mtu anakushobokea??umeombwa ama shobo tu kufatilia ya watu, kaa kimya waache waongee Jamii forum sio ta mama ako.
Vunga kama vp

Sio fresh bhna , uo Uzi umechacha zaman so sina comment kk
 
aaah nimeongea na wahusika, wamesisitiza tena, hakuna kitu kama hicho ni utapeli tu, na ndio maana nikanyamaza, video ya historia ilifanywa november mwaka jana, na hyo party waliyovaa nguo nyeupe ilikuwa ni preview party ya uo wimbo, hakuna nguo nyeupe kwenye video ya historia.
Ahsante.
kaa kimya ukweli najua unao ila kwa kuwa we ni akina mwafulani ndo mana!sasa wasanii au wamiliki wapo wangapi mpaka atajwe na yeye mbona hajaja kukanusha mtafute dereva wao atakueleza tena anakaa kimara!kwa jina la saidi,nalo ilo bisha acha kuwanga mchana!
 
We mbona ukiletaga shobo zako hapa za udaku hamna mtu anakushobokea??umeombwa ama shobo tu kufatilia ya watu, kaa kimya waache waongee Jamii forum sio ta mama ako.
Vunga kama vp

SI NDO HAPO SASA yeye alete yote ya DUNIA HII WENZAKE WAKILETA ANAANZA kama vile ni lazima achangie kila uzi mbona wenzake kuna uzi zingine huwa tunafumba macho na bado tunaishi kwa amani...ukajipe presha na mambo huyajui kisa uanpitia UKOKO JIONI?
 
hello hichi ndicho unacho zungumzia? Hukulipwa hadi leo?
 
Last edited by a moderator:
Heloo inamaa hadi Leo bado?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom