Kwa hiyo nimeshakuwa Dada tena? Kweli jide kakuvuruga, pole sana mkuu....
Kivip mpenzi?Kuna mtu anatafuta ban humu!!!
siku zote tunavyokutana humu na ninavyoona post zako the way unavyosound nilijua mdada lakini usikonde nishakupata sikuwa na maana mbaya kwani hapa jf kuna wadada na wakaka wote wanaleta michango tena mizuri.Na jina sometimes linaweza lisikutambulishe vyema,pole ila usinichukie.
Kama umesoma kidogo hii naweza kuita HYPERBOLE -something sound much more impressive than it really is!! kwa iyo hapa nipo nalalamikia elfu mbili? sawa mama haina shida!...mshabikieni tu!ubaya unaanzaga ivi ivi.
ULIKUWA HUJUI KAMA HAPA NIMAKUTANO JUNCTION?sasa wewe hapa umefuata nini si nndo inayoongoza kwa kuwa na wasomaji wengi...hapa tumewafumbua macho watu wakiitwa na jide eti kuna video yangu njooni muonekane tu tena mje mmevalia smart na kuna malipo wajue ni kwenda kuuza sura na si vinginevyo!
Tumeenda vizuri pale na tatizo ni maneno ya dharau na kufanya kitu kiwe kikuubwa wakati ni kumalizana kama vile tulivyokuwa tunaambiwa mfike saa moja usiku bila kuchelewa tunafika na kuwai,na kurudi saa 7 usiku,leo hii mambo yakiwa ivi,nawaza mengi....!!!kuhusu kuandamana nadhani si vizuri ila kwa mtindo wake huu kuna watu wataandamana hata si kwa hii video lakini kwa mbeleni...ETI MJE NA MASHATI MAZURI MEUPE,NA SULUALI AU SUTI KALI..watu tukajipinda tukatokelezea kama tunaenda kutoa mahali kumbe ujinga..poa washabiki wake mtamponza.
Sielewi kwanini wadau wanakushambulia wakati ki haki ilitakiwa aandamwe JIDE ili ijulikane kama ni kweli au la ,wapi ule uthubutu wa JF kusimamia ukweli?
Tunaomba haki zetu,basi unajua ulitutumia kwenye VIDEO YAKO KWA SIKU MBILI MFULULIZO WENGINE MPAKA kuomba ruhusa kwenye vibarua vyetu ilimradi kuitikia MWITO NA HESHIMA KUBWA,SASA KUSINGEKUWA na malipo basi ingeelezwa mapema,Wababa wa FAMILIA KWENDA KUTUZUNGUSHA KWENYE ile COSTA yako eti kwenda hapa na pale kwa jili ya uchukuaji wa Tv,tena kwa kukoddi nguo kwa gharama zetu leo hii kuwe hakuna kitu ..
USIKU WA MANANE......WEWE!!! hatutaki kusikia sijui Gadnner kala pesaa au nini,lawama ni kwako JIde kwa nini USIHAKIKISHE malipo yetu kwanza? hayo ya sijui nani kafanya nini hayakuwa makubaliano,jumatatu tunataka haki yetu,..
basi wala hatuna mengine,,na mapaka kuja humu ni bada ya maneno mengi mabovu ya baadhi ya watu wako eti tutaanza kufahamika na mengineo...TAFADHALI TUNAOMBA HAKI ZETU JUMATATU NA SISI TUNA FAMILIA.
Hii Kitu akiiona Gang Chomba atafurahi sana maana hampendi sana Jide... anaweza kujitolea kuwa wakili wenu amshikishe Adabu Jide
Mliendaje kufanya kazi bila makubaliano ya kisheria naamini ni kwl mlienda kuuza sura na ni uzembe mkubwa alafu mnakuja kulalama JF ukitegemea utapata hiyo pesa aaaarrrghh muwe makini next tym afu unasema mlienda kwa mapenzi ya kumsaidia dada yenu Jide na akili zenu kbs mnakodi nguo nyeupe muonekane kwny video kwl wauza sura.
yaani we acha tu,mengi yamejificha wacha tuendelee na yetu tu,Dunia ina mengi sana.
yaani we acha tu,mengi yamejificha wacha tuendelee na yetu tu,Dunia ina mengi sana.
Hayo yaliyojificha ndo tunayoyataka humu, hayo ya kudaiana mkadaiane nyumbani lounge..yaani we acha tu,mengi yamejificha wacha tuendelee na yetu tu,Dunia ina mengi sana.
Tunaomba haki zetu,basi unajua ulitutumia kwenye VIDEO YAKO KWA SIKU MBILI MFULULIZO WENGINE MPAKA kuomba ruhusa kwenye vibarua vyetu ilimradi kuitikia MWITO NA HESHIMA KUBWA,SASA KUSINGEKUWA na malipo basi ingeelezwa mapema,Wababa wa FAMILIA KWENDA KUTUZUNGUSHA KWENYE ile COSTA yako eti kwenda hapa na pale kwa jili ya uchukuaji wa Tv,tena kwa kukoddi nguo kwa gharama zetu leo hii kuwe hakuna kitu ..
USIKU WA MANANE......WEWE!!! hatutaki kusikia sijui Gadnner kala pesaa au nini,lawama ni kwako JIde kwa nini USIHAKIKISHE malipo yetu kwanza? hayo ya sijui nani kafanya nini hayakuwa makubaliano,jumatatu tunataka haki yetu,..
basi wala hatuna mengine,,na mapaka kuja humu ni bada ya maneno mengi mabovu ya baadhi ya watu wako eti tutaanza kufahamika na mengineo...TAFADHALI TUNAOMBA HAKI ZETU JUMATATU NA SISI TUNA FAMILIA.
acha maneno, wengine hatukodi nguo, sema kiasi gani....? mko wa ngapi....?Jumlisha kukodi vazi la suti,tax,na kuzungushwa kwa siku mbili tena usiku,na ni kwa masaa 8.uliza kama unamkodi mtu hata ulaya ipo ila hutegemea na nchi na mapatano....