Gadner Habash, E-fm Ndio Ofisi Mpya

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
Huyu Ndugu nnimemsikia kwenye tangazo la E fm muda si mrefu, inaelekea ndio kashamaliza mkataba wake na times fm. Sijamsikia muda sasa kwenye Maskani.

Habari ndio hiyo wadau wa Maskani!
 
alisema mkasini either atarejea mawingu au ataenda sehemu nyingine
 
hyo E fm inakuja kwa kasi ikifanya coverage nchi nzima itaifunika ata mawingu
 
hyo E fm inakuja kwa kasi ikifanya coverage nchi nzima itaifunika ata mawingu

Kwa hapa darisalam tayari hiyo redio inashikilia usukani na kwa mbaliiii inafuata mawingu.
Halafu na RFA sijui wamefanyeje naona inasikilizwa sana tofauti na zamani hadi kwenye daladala.
 
Sijui huwa nafanya bad timing, manake kila niki-tune hii radio nakumbana na mibolingo mfululizo, naamua ku-switch off!

Wako poa sana Nas daz mie ndio naisikiliza muda mwingi sana... na hapa nasikiliza radio yangu E fm... radio ya burudani ndani ya E Fm
 
Last edited by a moderator:
Wako poa sana Nas daz mie ndio naisikiliza muda mwingi sana... na hapa nasikiliza radio yangu E fm... radio ya burudani ndani ya E Fm
mnh! Nitajitahidi cku moja ni-tune in mida ya saa 17:30 (muda ulioandika hii post)... lakini inawezekana mwenzangu unaya-love hayo mabolingo! Sema kuna siku niliwapa salute ya heshima... ilikuwa weekend fulani hivi... sie ambao tulikuwa machaali in mid-1990's, na ma-hip hop waliyokuwa wanashusha hiyo weekend... weee acha bwana... ilikuwa njema si kidogo... zilikuwa ni pini zilizoenda shule na zika-graduate, sio hizi zenu za siku hizi za akina TI na akina Lil Wayne... old school tunajionea full utani!
 
EFM wamejitahid kujimarket, naona daladala nyingi mjini wamebandika nembo yao
 
Naona RFA kwa Dar wapo kwenye zilizokuwa frequency za Kiss Fm.....
 
jamaaa wako vizuri na Maulidi wa kitengo(mshambualiaji) nimemsikia kipind cha michezo...
 
RFA walipewa freequency mbaya kwa Dar ila kama wamepewa zile za Kiss FM basi watarudi sokoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…