Gadner Habash, E-fm Ndio Ofisi Mpya

Gadner Habash, E-fm Ndio Ofisi Mpya

Tatizo hii radio mwisho wake Dar! Hawana tofauti na times FM! Kelele nyingi mwisho wao Dar!
 
Ni radio ya Lady Jaydee. Mungu aendelee kukufanikisha dada ili Ruge na Kusaga wajue wewe si wa kuchezea. Tunakuombea uanzushe na TV station kabisa.
 
Tatizo hii radio mwisho wake Dar! Hawana tofauti na times FM! Kelele nyingi mwisho wao Dar!

Mkuu masafa yanaongezeka kwa kufikisha vigezo fulani. Hata ITV na Radio one hawakupata masafa ya nchi nzima at once. So huu ni mwanzo radio station ndo kwanza imeanza kurindima. Tumpe LJD muda. Just pongeza japo jitihada ndogo za.mtanzania mwenzio hata.kama mnatofautiana itikadi. Wewe mwanasheria yeye msanii = incompatible
 
Nipeni frequency zake niende nayo sawa asbuhi ya leo
 
Inabidi Kitale wampe pesa nyingi sana, ndo kasaidia kuvuta attention ya raia kuisikiliza hiyo radio
 
Ni radio ya Lady Jaydee. Mungu aendelee kukufanikisha dada ili Ruge na Kusaga wajue wewe si wa kuchezea. Tunakuombea uanzushe na TV station kabisa.

EFM haimilikiwi na lady JD .....ipo chini ya E Masters.....ambao pia wanamiliki Maisha Club hapa Dar na mikoa kadhaa......
 
As long as anapata pesa inayoweza kikimu mahitaji yake akafanye kazi hata kubeba zege sawa tuu,ipo siku mambo yatajipa...wengi hawakuzikuta kwenye meza waliangaikia kwanza..........
 
Ni radio ya Lady Jaydee. Mungu aendelee kukufanikisha dada ili Ruge na Kusaga wajue wewe si wa kuchezea. Tunakuombea uanzushe na TV station kabisa.
Siyo ya Jide... ingawaje ile watu kudhani ni ya Jide ilisaidia sana kui-promote!
 
Hiyo radio promo kuuubwa ila hamna kitu.

We umewasahau wabongo usiku kuuita mchana na mchana ukaitwa usiku. Ukiwajua wala huwezi poteza muda wa kujibizana nao. We hukumbuki yaliyotokea wiki 2 zilizopita? Eti Ali kiba ni zaidi ya Diamond? Hahahaha bongo bana, we fikia malengo na matarajio yako uone watu wanavyoumia roho.
 
Siyo ya Jide... ingawaje ile watu kudhani ni ya Jide ilisaidia sana kui-promote!

Nimeisikiliza sana wala hawana jipya ni wachovu kama wachovu wengine hapa dar. Sema wanapiga sana promo. Hata saizi nimeisikiliza kidogo kuna dem na mshkaj wako studio hata hawavutii masikioni kuwasikiliza.
 
Back
Top Bottom