Gadner Habash, Mtangazaji mahiri asiye na maadili

Mleta mada kwa tamaduni za kiafrika mtu akifariki usimseme vibaya muachie mungu akamchagulie adhabu ya kabiri lake hii inamsaidia marehemu pia huko aendako na kwaww pia uliopo duniani,hasa unaemsemea vibaya,chunga sn hii kitu mleta mada itakusaidia maishani mwako
 
We jamaa umeangalia huu uzi ni wa mwaka gani au umemshambulia tu mleta mada?
 

Uzi uliandikwa mwaka 2017. Ni vema kwamba mleta mada ulimsema mhusika akiwa yuko hai ndio kwamba aone na achukue hatua stahiki akiona inafaa.


Sio vibaya kumkosoa na kumrekebisha mtu anapoonesha mwenendo usiofaa hasa akiwa bado yu hai.
 
Mkuu utakua umekurupuka. Huu uzi ni wa 2017 ila kwa kua umeona tu jina la marehem ukarukia kutoa lawama.
Tujenge tabia ya kutafakari ama kutafiti japo kidogo kabla ya kusema.
 
Kwamba Mungu anaweza kubadili maamuzi ya adhabu kulingana na marehemu kisemwa?
 
Karibu Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-JbrRip Garder G Habash

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…